Ni mambo haya machache tu Magufuli akifanya watanzania wataacha kulalaminika

Supervision

JF-Expert Member
Jun 16, 2016
265
203
Hey jambo watanzania wenzangu!

Ebwana nimefuatilia habari mbalimbali na mijadala mingi mikali nimegundua kumba raisi kuna mambo machache tu akiyafanya malalamiko yatapungua.Mambo hayo ni kama yafuatayo:

1.Kuachilia ajira zile ambazo hazieleweki zitatoka lini?

2.Kupandisha wafanyakazi madaraja na kuachia uhamisho

3.Kupandisha mishahara ya wafanyakazi wa serikali.

Hili la tatu ni muhimu na linaweza kuchangia uwepo wa pesa kurudi mtaani kwasababu,'
Kuna wafanyakazi wa serikali kila sehemu mjini na vijijini.Kama kijiji kinawafanyakazj 20 ama 30 yaani hapo manesi,mabwanashamba na walimu kila mtu anapata mshahara mkononi siyo chini ya laki sita maana yake ukizidisha mara 30 unakuwa na siyo chini ya milioni kumi na tano.
Watu hawa watachangia kuongeza mzunguko wa pesa kwa kununua bidhaa vijijini na mijini na hata kuanzisha vimiradi ama kujenga nyumba ama kufanya shughuli za kilimo hivyo kuongeza upatikanaji wa pesa hata kwa watu wa chini.

Akimaliza kufanya haya atakuwa amepunguza malalamiko na kuongeza pesa kuzunguka mtaani na hata kuongeza kodi kwa taifa.

Zaidizaidi yatabaki maswala ya kisiasa lakini kwa wananchi wengi pesa itakuwa imerudi na kuhitaji tu maswala machache kama vile kilimo,kusimamia ununuzi wa mazao ili wananchi wanufaike,ukusanyaji mzuri wa mapato na kuziba mirijanya kinyonyaji.

Ni vitu hivi na vingine vidogo sana akivifanya malalamiko yatapungua na wananchi kupiga makofi
 
Hiv wewe wazungumza nn?

Sasa hapa Wamshauri?

Wampa maelekezo?

Au waongea tu kufurahisha genge?
 
Hey jambo watanzania wenzangu!

Ebwana nimefuatilia habari mbalimbali na mijadala mingi mikali nimegundua kumba raisi kuna mambo machache tu akiyafanya malalamiko yatapungua.Mambo hayo ni kama yafuatayo:
1.Kuachilia ajira zile ambazo hazieleweki zitatoka lini?
2.Kupandisha wafanyakazi madaraja na kuachia uhamisho
3.Kupandisha mishahara ya wafanyakazi wa serikali.
Hili la tatu ni muhimu na linaweza kuchangia uwepo wa pesa kurudi mtaani kwasababu,'
Kuna wafanyakazi wa serikali kila sehemu mjini na vijijini.Kama kijiji kinawafanyakazj 20 ama 30 yaani hapo manesi,mabwanashamba na walimu kila mtu anapata mshahara mkononi siyo chini ya laki sita maana yake ukizidisha mara 30 unakuwa na siyo chini ya milioni kumi na tano.
Watu hawa watachangia kuongeza mzunguko wa pesa kwa kununua bidhaa vijijini na mijini na hata kuanzisha vimiradi ama kujenga nyumba ama kufanya shughuli za kilimo hivyo kuongeza upatikanaji wa pesa hata kwa watu wa chini.

Akimaliza kufanya haya atakuwa amepunguza malalamiko na kuongeza pesa kuzunguka mtaani na hata kuongeza kodi kwa taifa.
Zaidizaidi yatabaki maswala ya kisiasa lakini kwa wananchi wengi pesa itakuwa imerudi na kuhitaji tu maswala machache kama vile kilimo,kusimamia ununuzi wa mazao ili wananchi wanufaike,ukusanyaji mzuri wa mapato na kuziba mirijanya kinyonyaji.

Ni vitu hivi na vingine vidogo sana akivifanya malalamiko yatapungua na wananchi kupiga makofi

Akifanya hayo yote bila kuruhusu uhuru wa kujieleza na uhuru wa mikutano ya kisiasa bado atakuwa hajafanya kitu.

Imeandikwa, mtu hataishi kwa mkate tu.

Naona mambo yako yote yameangalia mkate tu.
 
Yaani BASHITE kafanya hata suala la ajira lisiweongelewa na kupandishwa madaraja
 
Bashite na magumashi yote aliyofanya bila kuondoka ni vigumu sana kuelewa mheshimiwa falsafa yake haswa anasimamia nini!.
 
Akifanya hayo yote bila kuruhusu uhuru wa kujieleza na uhuru wa mikutano ya kisiasa bado atakuwa hajafanya kitu.

Imeandikwa, mtu hataishi kwa mkate tu.

Naona mambo yako yote yameangalia mkate tu.
Ongeza na kuzuia mfumuko wa bei
Hey jambo watanzania wenzangu!

Ebwana nimefuatilia habari mbalimbali na mijadala mingi mikali nimegundua kumba raisi kuna mambo machache tu akiyafanya malalamiko yatapungua.Mambo hayo ni kama yafuatayo:
1.Kuachilia ajira zile ambazo hazieleweki zitatoka lini?
2.Kupandisha wafanyakazi madaraja na kuachia uhamisho
3.Kupandisha mishahara ya wafanyakazi wa serikali.
Hili la tatu ni muhimu na linaweza kuchangia uwepo wa pesa kurudi mtaani kwasababu,'
Kuna wafanyakazi wa serikali kila sehemu mjini na vijijini.Kama kijiji kinawafanyakazj 20 ama 30 yaani hapo manesi,mabwanashamba na walimu kila mtu anapata mshahara mkononi siyo chini ya laki sita maana yake ukizidisha mara 30 unakuwa na siyo chini ya milioni kumi na tano.
Watu hawa watachangia kuongeza mzunguko wa pesa kwa kununua bidhaa vijijini na mijini na hata kuanzisha vimiradi ama kujenga nyumba ama kufanya shughuli za kilimo hivyo kuongeza upatikanaji wa pesa hata kwa watu wa chini.

Akimaliza kufanya haya atakuwa amepunguza malalamiko na kuongeza pesa kuzunguka mtaani na hata kuongeza kodi kwa taifa.
Zaidizaidi yatabaki maswala ya kisiasa lakini kwa wananchi wengi pesa itakuwa imerudi na kuhitaji tu maswala machache kama vile kilimo,kusimamia ununuzi wa mazao ili wananchi wanufaike,ukusanyaji mzuri wa mapato na kuziba mirijanya kinyonyaji.

Ni vitu hivi na vingine vidogo sana akivifanya malalamiko yatapungua na wananchi kupiga makofi
 
mi sitaki ajira yao kwani niwetiajiri lakini ndio mlalamishi nambari one mi natatja bashite atumbuliwe tu
 
Ongeza na kuzuia mfumuko wa bei
Hilo ni suala la uchumi.

Kutaka kuendesha nchi kwa mabadiliko ya kiuchumi bila mabdiliko ya kisiasa ni sawasawa na kutakakuendesha gari bila injini.

Kwame Nkrumah alisema, akimgeza Yesu, "Seek ye first the political kingdom and all else shall be added after". Alikuwa na maana sana.

Bila ya uhuru wa kisiasa, unawezakuwa na maendeleo makubwa sana ya kiuchumi lakini yakafaidisha wachache sana. Hatutaki hayo.
 
Hey jambo watanzania wenzangu!

Ebwana nimefuatilia habari mbalimbali na mijadala mingi mikali nimegundua kumba raisi kuna mambo machache tu akiyafanya malalamiko yatapungua.Mambo hayo ni kama yafuatayo:
1.Kuachilia ajira zile ambazo hazieleweki zitatoka lini?
2.Kupandisha wafanyakazi madaraja na kuachia uhamisho
3.Kupandisha mishahara ya wafanyakazi wa serikali.
Hili la tatu ni muhimu na linaweza kuchangia uwepo wa pesa kurudi mtaani kwasababu,'
Kuna wafanyakazi wa serikali kila sehemu mjini na vijijini.Kama kijiji kinawafanyakazj 20 ama 30 yaani hapo manesi,mabwanashamba na walimu kila mtu anapata mshahara mkononi siyo chini ya laki sita maana yake ukizidisha mara 30 unakuwa na siyo chini ya milioni kumi na tano.
Watu hawa watachangia kuongeza mzunguko wa pesa kwa kununua bidhaa vijijini na mijini na hata kuanzisha vimiradi ama kujenga nyumba ama kufanya shughuli za kilimo hivyo kuongeza upatikanaji wa pesa hata kwa watu wa chini.

Akimaliza kufanya haya atakuwa amepunguza malalamiko na kuongeza pesa kuzunguka mtaani na hata kuongeza kodi kwa taifa.
Zaidizaidi yatabaki maswala ya kisiasa lakini kwa wananchi wengi pesa itakuwa imerudi na kuhitaji tu maswala machache kama vile kilimo,kusimamia ununuzi wa mazao ili wananchi wanufaike,ukusanyaji mzuri wa mapato na kuziba mirijanya kinyonyaji.

Ni vitu hivi na vingine vidogo sana akivifanya malalamiko yatapungua na wananchi kupiga makofi
mishahara hata akipandisha haisaidii, kwasababu wamekata loan board nasikia watu wanapokea alfu ishirini ndio imebaki kwenye mshahara. mtu hata kama kwenye acount alikuwa na laki mbili au tatu wanakata hivyohivyo, habakiwi na kitu. watu wanatafuta kuhama tu kazi au kwenda kwenye biashara ili waone hayo makato ya loanboard atayakatia wapi. mwenzie kikwete alitulia kimya alikuwa na akili kuwa hiyo itaumiza wananchi, yeye amekurupuka bila hata kufanya research namna gani watu wataathirika. hiyo imemsababishia kuchukiwa mno na raia, hasa waalimu ambao ndio wengi na wapo karibu na wananchi kuliko hata yeye mwenyewe. tusubiri 2020.
 
Hilo ni suala la uchumi.

Kutaka kuendesha nchi kwa mabadiliko ya kiuchumi bila mabdiliko ya kisiasa ni sawasawa na kutakakuendesha gari bila injini.

Kwame Nkrumah alisema, akimgeza Yesu, "Seek ye first the political kingdom and all else shall be added after". Alikuwa na maana sana.

Bila ya uhuru wa kisiasa, unawezakuwa na maendeleo makubwa sana ya kiuchumi lakini yakafaidisha wachache sana. Hatutaki hayo.
Soma post zote
 
Back
Top Bottom