mshana jrHuyu mzungu ama mwarabu?
Ni kwa ajiri ya walemavu bila shaka...
mshana jr
Wandugu hiyo spesho kwa walemavu wenye wheel chair..... Kumbwa waarabu tu ndo hufung miguu?!!
Mkuu wasema nini? Serikali... khaaa Siri-kali haikujaali Walo wazima wa afya na wenye kulipa kodi zote, iwakumbuke raia namba tatu (3rd class citizen) !!Waniwie radhi ndugu zangu walemavu mimi na wengine wengi ikiwemo serikali yetu tukutu hatujawahi kuwaza jambo kama hili kwa watu kama hao