[h=2]Mgombea mwenza kupitia CCM, Samia amezidi kuiteka Tabora, maelfu kwa maelfu wajitokeza kumpokea mkoani Tabora.Mama Samia ameahidi serikali yake itajitahidi kuhakikisha wanatoa fursa kwa vijana kupata mikopo na kuweza kujiajiri. Serikali itaboresha miundo mbinu hususani huduma za afya na barabara.[/h]
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa kampeni uliofayika leo kwenye viwanja vya shule ya Sekondari Uyui katika jimbo la Tabora mjini.
Maelfu ya wananchi wakimshangilia mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo kwenye Viwanja vya Shule ya Sekondari ya Uyui, jimbo la Tabora mjini mkoani Tabora
Aliyekuwa mgombea Ubunge jimbo la Nkenge lakini akashindwa katika kura za maoni, Mama Asupta Mshama, akihutubia maelfu ya wananchi katika viwanja vya Shule ya Sekondari Uyui, Jimbo la Tabora mjini mkoani Tabora
Mbunge wa jimbo la Tabora Mjini Emmanuel Mwakasaka akiomba kura katika mkutano wa kampeni wa Mama Samia, uliofanyika kwenye Viwanja vya Shule ya Sekondari Uyui, katika jimbo hilo mkoani Tabora leo
Acha ulingo weye...sijui hao watu kwanza mlipowatoa ni wapi. kwanza utadhani hata hakuwepo. pamoja na kuja na hao wasanii ambao sasa hivi kwa sababu ya matendo wanaitwa mobile big brother
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.