SAWEBOY
JF-Expert Member
- Apr 6, 2011
- 241
- 173
Wapendwa Wana Jf,
Nina Mke wangu ambae ana mtoto wa miezi 8. Mke wangu huyu baada ya kupata huyu mtoto alini-surprise pale aliponiambia ana mimba. Nilipomuhoji imekuaje ashike mimba hali mtoto ni mdogo aliniambia hata yeye ameshangaa coz hakupanga ila ni bahati mbaya.
Nikawa namashaka kuwa mimba sio yangu.....akalia nakusema ni yangu. Nikasema ok poa aiche na wala asitoe lakini amwachishe mtoto kunyonya. Nikaandaa utaratibu mzuri wa kumhudumia mtoto. Miezi 2 baadae nikabaini kuwa ana mahusiano na mwanamme wa nje, nikamhoji akakataa. Nikamwambia ukweli utajulikana baada ya mtoto kuzaliwa kama ni wangu au hapana. Akataka kwenda kutoa mimba nikamkatalia.
Wiki Iliyopita nilisafiri kwenda arusha kwa dahrura...siku ya jumamosi, nimerudi home J4 usiku bila taarifa.......nimeshinda J5 tu , Alhamisi usiku huyu mwanamke ananiambia mvua imeanza kunyesha toka mchana. Mhmh sikumuelewa, na sikuamini asemacho.
FIKRA ZANGU:
1. Nahisi amemeza madawa ya kutoa mimba ili kufuta ushahidi wa kuwa mimba ni ya jamaa.
2. Sina knowledge kuwa mwanamke anaweza pata siku zake huku angaliana mimba hata ya miezi minne(4).
3. Naona mtoto wangu atakuwa hajatendewa haki kama ikiwa kweli ametoa hiyo mimba na mtoto
ameachishwa kunyonya akiwa na miezi 7 tu.
OMBI:
Naomba ushauri wenu juu ya doubt zangu hapo juu wapendwa wangu.
Asanteni sana na kazi njema.
Nina Mke wangu ambae ana mtoto wa miezi 8. Mke wangu huyu baada ya kupata huyu mtoto alini-surprise pale aliponiambia ana mimba. Nilipomuhoji imekuaje ashike mimba hali mtoto ni mdogo aliniambia hata yeye ameshangaa coz hakupanga ila ni bahati mbaya.
Nikawa namashaka kuwa mimba sio yangu.....akalia nakusema ni yangu. Nikasema ok poa aiche na wala asitoe lakini amwachishe mtoto kunyonya. Nikaandaa utaratibu mzuri wa kumhudumia mtoto. Miezi 2 baadae nikabaini kuwa ana mahusiano na mwanamme wa nje, nikamhoji akakataa. Nikamwambia ukweli utajulikana baada ya mtoto kuzaliwa kama ni wangu au hapana. Akataka kwenda kutoa mimba nikamkatalia.
Wiki Iliyopita nilisafiri kwenda arusha kwa dahrura...siku ya jumamosi, nimerudi home J4 usiku bila taarifa.......nimeshinda J5 tu , Alhamisi usiku huyu mwanamke ananiambia mvua imeanza kunyesha toka mchana. Mhmh sikumuelewa, na sikuamini asemacho.
FIKRA ZANGU:
1. Nahisi amemeza madawa ya kutoa mimba ili kufuta ushahidi wa kuwa mimba ni ya jamaa.
2. Sina knowledge kuwa mwanamke anaweza pata siku zake huku angaliana mimba hata ya miezi minne(4).
3. Naona mtoto wangu atakuwa hajatendewa haki kama ikiwa kweli ametoa hiyo mimba na mtoto
ameachishwa kunyonya akiwa na miezi 7 tu.
OMBI:
Naomba ushauri wenu juu ya doubt zangu hapo juu wapendwa wangu.
Asanteni sana na kazi njema.