Ni lini tunarekebishiwa mishahara?

Ni lini tunarekebishiwa mishahara?

mugua

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2015
Posts
205
Reaction score
120
Zoezi la uhakiki wa vyeti umeisha.Je wale tuliopandishwa madaraja mwaka jana mwezi wa tatu lakini hatukurekebishiwa mishahara ili kuruhusu uhakiki tutarekebishiwa lini mishahara yetu?
 
hali ngumu mkuu, huoni hata wakubwa wanapiga panga rambi rambi😀😀
 
Mwezi wa saba 2027 mkuu, vuta subira bado mwezi mmoja tu mbele yako.
 
Si alishasema, kuwa kwenye ghafla ijayo ya Mei Mosi atakuja na habari njema itakayoleta furaha lakini kwasasa tumvumilie.
Hivi kuna watu wanajifariji kuwa mwaka huu kuna nyongeza. Duuuuhhh, hata hotuba ya Magu ya kiswahili wameshindwa kuielewa .
Niliwaandikia humu kuwa "msoto mwingine kwa watumishi wa umma unakuja".kabla ya Mei Mosi hamjaeelewa?
 
Back
Top Bottom