Twalyaninkomi
JF-Expert Member
- Oct 31, 2016
- 265
- 259
Ni takribani zaidi ya mwezi sasa tangu serikali kupitia wizara ya elimu ilipotoa muongozo mpya wa kutoa ajira, ambapo walimu wahitajika ni wa sayansi na hisabati waliotakiwa kutuma vyeti vyao kwaajiri ya uhakiki na kupangwa vituo vya kazi rasmi! hata hivyo zoezi hili lilifanyika na kumalizika kwa muda wa siku tatu tu.
Licha ya shule zote nchi kufunguliwa tarehe 9 january, lakini mpaka sasa hakujatangazwa ajira hizo kwa walimu hawa wa sayansi na hisabati wenye umuhimu mkubwa hasa katika kipindi hiki nchi ikielekea katika uchumi wa viwanda, pia kulingana na uhaba katika shule zetu za kata hasa za vijijini!
Ni lini serkali itatoa majina ya vituo vya kazi kwa walimu wa sayansi?
Licha ya shule zote nchi kufunguliwa tarehe 9 january, lakini mpaka sasa hakujatangazwa ajira hizo kwa walimu hawa wa sayansi na hisabati wenye umuhimu mkubwa hasa katika kipindi hiki nchi ikielekea katika uchumi wa viwanda, pia kulingana na uhaba katika shule zetu za kata hasa za vijijini!
Ni lini serkali itatoa majina ya vituo vya kazi kwa walimu wa sayansi?