Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,407
๐๐๐
Kwahiyo nawewe ni maiti inayotembea?Kumbuka kauli ya mzee Jomo Kenyatta kwamba "rais wa Tanzania anaongoza maiti (watu wasioweza kupigania haki zao)".
Sasa unataka mama aongee na maiti??
๐๐๐Tangu nimeshuhudia msafara wa Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Una magari 16 sina huruma na uchumi WA nchi hii. Nami nikipata nafasi napiga Tu.
๐๐๐Wewe ni mchwadema au Chadema?
Huu ni uongo wa wazi kabisaSasa ulitegemea Mama atafanya nini wakati mafuta yamepanda bei dunia nzima tena TZ tuna nafuu kenya lita moja inakaribia equivalent to Tshs 3000 za TZ.
Nchi kubwa mpaka zinatoa mafuta kutoka katoka Strategic Oil reserves angalia International news jana.
Hata JPM angekuwepo vitu vingepanda tu bei kuanzia December bei za mafuta zitashuka haya mafuta ya akiba za mataifa makubwa yatakuwa yamesambaa duniani.
Mnawalaumu mabeberu hao waarabu wazalishaji wakubwa wa mafuta wamekomaa na bei zao za juu hawataki kushusha bei .
Mvurugano tunaufanyaje mkuu wakati Sisi ni kujaa Tu kwenye keyboard? Mtz ni muoga mno!Dawa ni kufanya mvurugano hadi hapo katiba itakapoweka sawa vifungu vya sheria flani flani ndio tutaheshimiana nadhani!
Umeona mkuu wangu? Upo lkn, umekuwa adimu sana.Nachukia Muungano linatumika vibaya kiasi kwamba tumekula GALASA....
10 tena.Anaupiga mwingi sana
Majaliwa yupo, watanzania wote macho na masikio yapo kwake japo kuna id nyingi mpya hapa jf kila siku kumchafua!Hivi Majaliwa yupo kwl,mana namuona kama hajui afanyalo
Mwaka 1980 Jomo Kenyatta alikuwa marehemu.
Sijui wanakuwa wanawaza nn, kimoyomoyo juu ya akili za namna hiyo,ccm hakuna kiongozi hata mmoja aliewahi kuwa na huruma na wananchi wa taifa hili nawaangaliaga tu mnavyowashangiliaga.
Mwaka 1980 Kenyatta alikuwa ameshafariki mkuu. Kenyatta amefariki mwaka 1978 kama sikosei.