Ni kweli vijana wa 1996, 1997, 1998 na 1999 ni Gifted. Mchango wao umeanza kuonekana mapema sana

Vinci Dayot Upamecano

JF-Expert Member
Nov 11, 2020
523
1,277
Count Capone alishasema haina haja ya kujuliana hali sasa kila mtu apambane na Hali yake.

Kama utakuwa na mjukuu, mtoto, Mdogo au Kaka/dada wa miaka ya kuanzia 1996-1999 utakubaliana na mimi kuwa hiki kizazi ni Gifted. Ni kweli kuwa no research then no right to speak, lakini mimi katika utafiti wangu mdogo usio rasmi ukiungwa mkono na baadhi ya watu wa rika tofauti nimekubali/tumekubali na kupitisha kizazi hiki kuwa ni kizazi kilicholetwa Duniani kwaajili ya mageuzi mengine katika karne ya 21.

Achana na Panya road wa 2000s hawa wanaoshindana kutoa connections kila uchwao, Hawa wa 1996 to 1999 majority wameshatoka vyuoni na sasa tupo nao mtaani, tunawaona wanavyochacharika kutushinda hata sisi kaka zao wa Early 1990s. Ukiangalia kwenye tasnia tofauti tofauti kuanzia Comedians, Musical, Football, Films n.k wenyewe ndo wameshika hatamu.

Sio Tz au Africa tu angalieni world wide vijana wa rika la 23-26 ambao ndio wamezaliwa 1996-1999, wao ndio wanaapear sehemu nyingi zaidi kwa mazuri ukilinganisha na wa mbele yao au wa nyuma yao. Vijana wamekuwa na moyo wa kufanya kazi kwa bidii ukilinganisha na wale wa nyuma yao waliokuwa wanashinda vijiweni kula unga na madawa. Hawa wa mbele yao pia ambao ni kuanzia 2000 tuwaombee sana maana wana hali mbaya na sasa wanajiita vijana wa hovyo.

Kwa Tanzania vijana wengi wa miaka hiyo wanafanya makubwa na mazuri sana tu nyie wenyewe ni mashahidi sioni ulazima wa kuweka samples. Na kwakuwa sisi wa 1980s- Early 1990s tumeshindwa kuleta Mageuzi nchini kwetu basi naamini vijana hawa wanakuja kufanya kitu miaka ya hivi karibuni.

Where we dare to talk openly!
 
Kizazi kilichopita hukiona kizazi kilichopo kuwa kimepotea kimaadili na kimwelekeo hata kama kinajitahidi sana katika nyanja zingine.

Kizazi kilichopo hukiona kizazi kilichopita kuwa kimepitwa na wakati karibu katika kila kitu.

Kizazi kilichopo hujiona kuwa chenyewe ndiyo kinajua kila kitu na kinaishi maisha yenye uhalisia zaidi.

Hitimisho: Vizazi huja, vizazi huenda na kimsingi hakuna kibadilikacho. Yote ni ubatili mtupu!
 
Kizazi kilichopita hukiona kizazi kilichopo kuwa kimepotea kimaadili na kimwelekeo hata kama kinajitahidi sana katika nyanja zingine.

Kizazi kilichopo hukiona kizazi kilichopita kuwa kimepitwa na wakati karibu katika kila kitu.

Kizazi kilichopo hujiona kuwa chenyewe ndiyo kinajua kila kitu na kinaishi maisha yenye uhalisia zaidi.

Hitimisho: Vizazi huja, vizazi huenda na kimsingi hakuna kibadilikacho. Yote ni ubatili mtupu!
Babu yangu ambaye kwa sasa ni marehemu alikufa na miaka 99. Alikuwa anaipenda hii kauli, anasema yote ni ubatili.


Nahisi wewe ni mtu mzima. Kwani una miaka mingapi?
 
Kizazi kilichopita hukiona kizazi kilichopo kuwa kimepotea kimaadili na kimwelekeo hata kama kinajitahidi sana katika nyanja zingine.

Kizazi kilichopo hukiona kizazi kilichopita kuwa kimepitwa na wakati karibu katika kila kitu.

Kizazi kilichopo hujiona kuwa chenyewe ndiyo kinajua kila kitu na kinaishi maisha yenye uhalisia zaidi.

Hitimisho: Vizazi huja, vizazi huenda na kimsingi hakuna kibadilikacho. Yote ni ubatili mtupu!
UMEMALIZA
 
Count Capone alishasema haina haja ya kujuliana hali sasa kila mtu apambane na Hali yake.

Kama utakuwa na mjukuu, mtoto, Mdogo au Kaka/dada wa miaka ya kuanzia 1996-1999 utakubaliana na mimi kuwa hiki kizazi ni Gifted. Ni kweli kuwa no research then no right to speak, lakini mimi katika utafiti wangu mdogo usio rasmi ukiungwa mkono na baadhi ya watu wa rika tofauti nimekubali/tumekubali na kupitisha kizazi hiki kuwa ni kizazi kilicholetwa Duniani kwaajili ya mageuzi mengine katika karne ya 21.

Achana na Panya road wa 2000s hawa wanaoshindana kutoa connections kila uchwao, Hawa wa 1996 to 1999 majority wameshatoka vyuoni na sasa tupo nao mtaani, tunawaona wanavyochacharika kutushinda hata sisi kaka zao wa Early 1990s. Ukiangalia kwenye tasnia tofauti tofauti kuanzia Comedians, Musical, Football, Films n.k wenyewe ndo wameshika hatamu.

Sio Tz au Africa tu angalieni world wide vijana wa rika la 23-26 ambao ndio wamezaliwa 1996-1999, wao ndio wanaapear sehemu nyingi zaidi kwa mazuri ukilinganisha na wa mbele yao au wa nyuma yao. Vijana wamekuwa na moyo wa kufanya kazi kwa bidii ukilinganisha na wale wa nyuma yao waliokuwa wanashinda vijiweni kula unga na madawa. Hawa wa mbele yao pia ambao ni kuanzia 2000 tuwaombee sana maana wana hali mbaya na sasa wanajiita vijana wa hovyo.

Kwa Tanzania vijana wengi wa miaka hiyo wanafanya makubwa na mazuri sana tu nyie wenyewe ni mashahidi sioni ulazima wa kuweka samples. Na kwakuwa sisi wa 1980s- Early 1990s tumeshindwa kuleta Mageuzi nchini kwetu basi naamini vijana hawa wanakuja kufanya kitu miaka ya hivi karibuni.

Where we dare to talk openly!
Mdogo wangu anaenifuata Ni wa 1996,,,kampan anayonipa kwenye maisha Ni mungu pekee anaeijua na Niko kwenye ajira since 2015 Niko na masters degree yeye Yuko na bachelor pekee Ila hata ushauri anaonipa naona kabisa hili Ni jembe tegemezi...... NAUNGA MKONO HOJA
 
Alwatan Shimba ya Buyenze hujasema uongo hata kidogo, lakini Kuna pahala point yangu inapoenda kugota naona hujapatilia maanani. Ni kweli yote ni ubatili mtupu na ni kweli pia vizazi huja na kupita kama ilivyo ada.

Hapa nimelinganisha kizazi cha mbele kidogo cha 1996-1999 ambacho watu wake kwa sasa wana miaka zaidi ya 27 hadi 30 na kizazi cha nyuma yake miaka ya 2000 hadi 20004 hapa nmeona Kuna utofauti kidogo baina yao katika suala zima la mapinduzi ya fikra na utendaji.

Mimi sio wa miaka hiyo lakini mienendo yao inaonekana dhahiri wako smart tofauti kidogo na miaka hiyo tajwa ya nyuma yao na mbele yao.
 
Alwatan Shimba ya Buyenze hujasema uongo hata kidogo, lakini Kuna pahala point yangu inapoenda kugota naona hujapatilia maanani. Ni kweli yote ni ubatili mtupu na ni kweli pia vizazi huja na kupita kama ilivyo ada.

Hapa nimelinganisha kizazi cha mbele kidogo cha 1996-1999 ambacho watu wake kwa sasa wana miaka zaidi ya 27 hadi 30 na kizazi cha nyuma yake miaka ya 2000 hadi 20004 hapa nmeona Kuna utofauti kidogo baina yao katika suala zima la mapinduzi ya fikra na utendaji.

Mimi sio wa miaka hiyo lakini mienendo yao inaonekana dhahiri wako smart tofauti kidogo na miaka hiyo tajwa ya nyuma yao na mbele yao.
Unafikiri ni kwa nini hao vijana wa hicho kipindi wako vizuri kuliko wenzao? Ni nini kinawafanya wawe hivyo? Kuna sababu zo zote za kisiasa, kijamii, kitamaduni, kiuchumi na hata kimazingira katika kipindi kile zinazowafanya wawe vizuri? Maana kama zipo sababu na tukazigundua ni ishu ya kuzirudisha tu tayari tunakuwa na taifa kabambe...
 
Back
Top Bottom