decomm JF-Expert Member Joined Dec 10, 2013 Posts 726 Reaction score 666 Apr 13, 2015 #2 Kwenye moto naona mfano wa wanyama, mmoja mkubwa na mdogo nyuma... Lakini hapo palipozungushiwa naona mfano wa mtu aliye vaa vazi jeupe na mkanda au kama / mshipi / mkwiji kiunoni!
Kwenye moto naona mfano wa wanyama, mmoja mkubwa na mdogo nyuma... Lakini hapo palipozungushiwa naona mfano wa mtu aliye vaa vazi jeupe na mkanda au kama / mshipi / mkwiji kiunoni!
Dragoon JF-Expert Member Joined Nov 24, 2013 Posts 7,012 Reaction score 8,146 Apr 13, 2015 #3 mwanga lutila said: View attachment 242939 Click to expand... Kuna picha ya mtu na wanyama kama vile simba, mkubwa na mdogo nyuma
mwanga lutila said: View attachment 242939 Click to expand... Kuna picha ya mtu na wanyama kama vile simba, mkubwa na mdogo nyuma
Lancashire JF-Expert Member Joined Sep 20, 2014 Posts 14,082 Reaction score 10,454 Apr 13, 2015 #4 Ushirikina tu unawasumbua.hamna lolote.
theki JF-Expert Member Joined Nov 1, 2013 Posts 2,721 Reaction score 587 Apr 13, 2015 #5 mwanga lutila said: View attachment 242939 Click to expand... Wewe hebu acha porojo umetuonesha ili tujue unatumia smartphone ambayo umedownloading PHOTO EDITOR MAX hahaha.?
mwanga lutila said: View attachment 242939 Click to expand... Wewe hebu acha porojo umetuonesha ili tujue unatumia smartphone ambayo umedownloading PHOTO EDITOR MAX hahaha.?
The Businessman JF-Expert Member Joined Jan 9, 2014 Posts 7,397 Reaction score 9,263 Apr 13, 2015 Thread starter #6 lancanshire said: Ushirikina tu unawasumbua.hamna lolote. Click to expand... Hata wewe pia unakusumbua kwa sababu umewaza neno ushirikina.
lancanshire said: Ushirikina tu unawasumbua.hamna lolote. Click to expand... Hata wewe pia unakusumbua kwa sababu umewaza neno ushirikina.
mswele JF-Expert Member Joined Dec 18, 2014 Posts 687 Reaction score 419 Apr 13, 2015 #7 mwanga lutila said: View attachment 242939 Click to expand... sikiliza ww acha kutupotezea muda hiyo sehem uliozungushia duara si chupa ya maji au huna macho??
mwanga lutila said: View attachment 242939 Click to expand... sikiliza ww acha kutupotezea muda hiyo sehem uliozungushia duara si chupa ya maji au huna macho??
mjukuum JF-Expert Member Joined Dec 8, 2014 Posts 5,257 Reaction score 2,846 Apr 13, 2015 #8 lancanshire said: Ushirikina tu unawasumbua.hamna lolote. Click to expand... Kama hujaona cm yako ni aina gn kuna pcha za aina mbili mnyama na mtu
lancanshire said: Ushirikina tu unawasumbua.hamna lolote. Click to expand... Kama hujaona cm yako ni aina gn kuna pcha za aina mbili mnyama na mtu
Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2010 Posts 62,190 Reaction score 128,243 Apr 13, 2015 #9 watanganyika bana
L lubajaro JF-Expert Member Joined Mar 29, 2015 Posts 1,514 Reaction score 696 Apr 13, 2015 #10 Ndiyo kabisa
L lubajaro JF-Expert Member Joined Mar 29, 2015 Posts 1,514 Reaction score 696 Apr 13, 2015 #11 Hilo litakuwa jini mtoa roho za watu
miss chagga JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 57,805 Reaction score 49,104 Apr 13, 2015 #12 ni mawazo yetu yanatengeneza hayo madudu mfu yasiyokuwepo
Sirdirashy JF-Expert Member Joined Jan 26, 2014 Posts 3,249 Reaction score 3,070 Apr 13, 2015 #13 Imetokea wapi umeedit au hujaedit ila kiuhalisia naona huyo ni mnyama aina ya chui au simba huku kwengine naona mi kiumbe mtu aliye vaa vazi jeupe
Imetokea wapi umeedit au hujaedit ila kiuhalisia naona huyo ni mnyama aina ya chui au simba huku kwengine naona mi kiumbe mtu aliye vaa vazi jeupe
K Kayagamba JF-Expert Member Joined Feb 4, 2015 Posts 467 Reaction score 121 Apr 13, 2015 #14 miss chagga said: ni mawazo yetu yanatengeneza hayo madudu mfu yasiyokuwepo Click to expand... Ni kweli idle minds ni kuwaza uhalifu na uhalibifu kila wakati.
miss chagga said: ni mawazo yetu yanatengeneza hayo madudu mfu yasiyokuwepo Click to expand... Ni kweli idle minds ni kuwaza uhalifu na uhalibifu kila wakati.
miss chagga JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 57,805 Reaction score 49,104 Apr 13, 2015 #15 Kayagamba said: Ni kweli idle minds ni kuwaza uhalifu na uhalibifu kila wakati. Click to expand... we need to stop
Kayagamba said: Ni kweli idle minds ni kuwaza uhalifu na uhalibifu kila wakati. Click to expand... we need to stop
Dejane JF-Expert Member Joined Jan 1, 2014 Posts 51,006 Reaction score 72,305 Apr 13, 2015 #16 Kalagabao njoo uone picha Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
kabanga JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,506 Reaction score 18,872 Apr 13, 2015 #17 Jamaa....
Baba Wille JF-Expert Member Joined Feb 9, 2014 Posts 548 Reaction score 554 Apr 13, 2015 #18 Mhhhhhh! Tusipuuze sana, panaweza kuwa na maana sana pale kwa ile picha.....
C Camp Gilgal JF-Expert Member Joined Dec 13, 2014 Posts 4,453 Reaction score 4,594 Apr 13, 2015 #19 Ee Mungu irehemu Tanzania. Hizi ajali na jinsi mambo yalivyo tutakuwa tumemess up sehemu.
kisungu JF-Expert Member Joined Feb 20, 2013 Posts 788 Reaction score 266 Apr 13, 2015 #20 Kwa hiyo unataka kusema hicho kipicha hapo chini ni bikira maria??