ni kweli tunauhitaji,,

ni kweli tunauhitaji,,

vox

New Member
Joined
Apr 26, 2010
Posts
2
Reaction score
0
guys,,hivi huu mwenge wa UHURU ni kweli mpaka leo HII tunauhitaji?kuna mtu anaweza akatupa budget yake ya kuuzungusha mikoani pamoja na significances zake wakati unaanzaishwa?whts the worst cud hv happened if we stop the whole thng?wana jamii tunaomba mawazo yenu.thanx in advance
 
Hauna maana kabisa. N mwendelezo wa matumizi mabaya katika nchi hii.

Mambo ya msingi serikali inalalamika haina pesa, ila kwa mambo yasiyo na maana ndo kipaumbele chake.
 
Mwenge wa uhuru........it goes back tulipopata uhuru,swali na kwamba was it kweli uhuru??ni kweli tuukimbize mwenge wakati hatuna uhuru mikono yetu imefungwa na wachache kiuchumi,kisiasa na kijamii??Haina maana kuendelea kuukimbiza mwenge wetu maana maana ya halisi ya kufanya hivyo haipo......tungekuwa na uhuru wala tusinge jali gharama za kuukimbiza mwenge maana tungekuwa na mafanikio kibao,gharama isingekuwa ishu,na tendo hili lingekuwa ni fahari ya kila mtanzania.
Tutafute uhuru,sisi wote ni wafungwa chini ya serikali na sera zake sizizo huru.
 
Back
Top Bottom