vox
New Member
- Apr 26, 2010
- 2
- 0
guys,,hivi huu mwenge wa UHURU ni kweli mpaka leo HII tunauhitaji?kuna mtu anaweza akatupa budget yake ya kuuzungusha mikoani pamoja na significances zake wakati unaanzaishwa?whts the worst cud hv happened if we stop the whole thng?wana jamii tunaomba mawazo yenu.thanx in advance