Tule tumishkaki bwana hatari sana na ile pilipili yake potelea mbali hata uwez jua n ka nyau au kadog.Kuna vimiskaki vidogo vidogo huwa vinauzwa sijui mia au miambili ni vitaamuu ile sijui nyama ya nyau
Sent from my BLL-L22 using JamiiForums mobile app
Mkuu ungekula tu huwezi kufa haaa haaaKuna siku nlikuwa maeneo ya makao mapya arusha kuna baa flan hv jina la mbuga nafikiri ilkua 2017 mwishon hv yan n saa nne usiku nna njaa hatar basi nikaagiza chips kavu na mbuzi yan ile nyama ya mbuzi nlikuwa siielew kabisa yan nikasema hapa tayari nimepatikana
Harafu ina teleza flani hiviInawezekana, hasa huko DSM wauza chipsi na wale wanaochoma maeneo ya standi. Ile nyama ni laini sana haifanani na ya ng'ombe.
Nlikula mkuu sema njaa ilivyoanza kukata nikaanza kuiona haifai ila iliisha yote japo sikuwa na ImanMkuu ungekula tu huwezi kufa haaa haaa