Ramark
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 1,989
- 1,441
Habari wanabodi
Nimeendelea kutafakari ya spika na wabunge wake huku nikisikiliza ya PM na watu wake huku waziri wa fedha, tume ya ushindani, waziri wa biashara na Rais wako kimya.
Nikiwa natafakari hayo, naambiwa kesho nauli za mabasi na daladala zinaanza kutekelezwa.
Spika naye kichwa maji mnajili hakuna azimio
Rais kichwa maji anaendelea kutia kuni kwenye jungu lilitoswa mikono ya mwanaye
Waziri wa nishati bogus kabisa huku tukimsamehe waziri wa fedha kwani hajielewi eti anapost sensa.
Ni bora tukahairisha sensa na fedha za sensa zikafidia hizo tozo ambazo kimsingi hazitapungua kwani makisio ya bajeti sasa yanaenda kuongezeka kwa kuwa asilimia zinaongeza fedha kwa kuwa bei imepanda kwani tozo iliyo fixed ni hizo chache tu.
Kama sote tulivyoona mapendekezo ya ACT pamoja na ya wenzetu kwenye majukwaa mbalimbali lakini serikali imekuwa kiziwi.
Hivi sisi hela ya kuongeza kununua mafuta, unga, Michele, mafuta ,vifaa vya ujenzi, nk tunaitoa wapi maana hata access ya kukopa ni shughuli na tunaserikali yenye uwezo wa kutumia hifadhi ya dollar au kukopa.
Rais wa marekani jumapili kawaambia wamarekani kuwa ameshafanya kupunguza maumivu ya gharama za gesi na mafuta sasa ni zamu ya bunge.
Lkini kwetu bunge linamngojea serikali inataka nini na serikali inasikiliza wafanyabiashara wanataka nini.
Sasa hao watumishi mnaowatesa mnawaongeza za nini?
Magufuli aliwaambia napunguza inflation ili kwa mshahara mkidhi mahitaji kwa unafuu
Haya wewe ajuza unasemaje na serikali yako.
Naaumia but tulitegemea utatusikiliza kuliko huyo mchemba anayezikusanya kwa ajili ya uchaguzi 2030
Pole yenu na yetu
Nimeendelea kutafakari ya spika na wabunge wake huku nikisikiliza ya PM na watu wake huku waziri wa fedha, tume ya ushindani, waziri wa biashara na Rais wako kimya.
Nikiwa natafakari hayo, naambiwa kesho nauli za mabasi na daladala zinaanza kutekelezwa.
Spika naye kichwa maji mnajili hakuna azimio
Rais kichwa maji anaendelea kutia kuni kwenye jungu lilitoswa mikono ya mwanaye
Waziri wa nishati bogus kabisa huku tukimsamehe waziri wa fedha kwani hajielewi eti anapost sensa.
Ni bora tukahairisha sensa na fedha za sensa zikafidia hizo tozo ambazo kimsingi hazitapungua kwani makisio ya bajeti sasa yanaenda kuongezeka kwa kuwa asilimia zinaongeza fedha kwa kuwa bei imepanda kwani tozo iliyo fixed ni hizo chache tu.
Kama sote tulivyoona mapendekezo ya ACT pamoja na ya wenzetu kwenye majukwaa mbalimbali lakini serikali imekuwa kiziwi.
Hivi sisi hela ya kuongeza kununua mafuta, unga, Michele, mafuta ,vifaa vya ujenzi, nk tunaitoa wapi maana hata access ya kukopa ni shughuli na tunaserikali yenye uwezo wa kutumia hifadhi ya dollar au kukopa.
Rais wa marekani jumapili kawaambia wamarekani kuwa ameshafanya kupunguza maumivu ya gharama za gesi na mafuta sasa ni zamu ya bunge.
Lkini kwetu bunge linamngojea serikali inataka nini na serikali inasikiliza wafanyabiashara wanataka nini.
Sasa hao watumishi mnaowatesa mnawaongeza za nini?
Magufuli aliwaambia napunguza inflation ili kwa mshahara mkidhi mahitaji kwa unafuu
Haya wewe ajuza unasemaje na serikali yako.
Naaumia but tulitegemea utatusikiliza kuliko huyo mchemba anayezikusanya kwa ajili ya uchaguzi 2030
Pole yenu na yetu