Mvutakamba
Member
- Jul 31, 2009
- 58
- 1
Kuna habari zime enea sana hapa Magu kwamba Bw.Madete naye mhandisi amenuia kugombea Ubunge Magu .Madete mwenyewe yuko kimya baada ya kuona uvumi umekuwa mkubwa nimeona nije hapa kamvini kuuliza huenda kuna watu wana taarifa kama ilivyo kuwa kwa Mwakalinga .Kama itakuwa kweli baso tanzanet itakuwa imeanza kuchomoza watu kwa wingi toka kwenye kijiwe chao cha CCM.Yes tanzanet ni kijiwe cha wana CCM kuna kila aina ya ushahidi ,Madete wewe ni msomaji naamini hebu tuweke sawa unangoja ufanye mambo kama Mwakalinga ?