Ni kweli mwanamke akipenda anapenda kweli

Ni kweli mwanamke akipenda anapenda kweli

Smartphone Tz

Member
Joined
Oct 29, 2020
Posts
34
Reaction score
29
Habarini wakuu i hope mko poa,

Aisee hivi karibu nimekuwa na mahusiano na mdada mmoja hivi tumejuana facebook tukapeana no tukawa tunachart siku ya 1 ya 2 ya 3 nkamtongoza kakubali

Sasa huyu bidada amekuwa wa moto sana yeye ana kazi na kila kitu ndani bhasi kuanzia hapo kila wakati anataka tuchart nimpigie sim tuongee video call whatsapp

Kwa sasa yupo mbeya kikazi sasa juzi kati nkamgusia suala la game akakubali bila shida yyte yan huyu bidada amekuwa na careness kubwa sana haipiti siku bila kunipigia sim au kunitumia sms

Sasa naomba kuuliza wakuu hivi ndo huwa hivi kweli mwanamke akipenda au ni drama tu huyu ananiletea nafatilia comments
Asanteni
 
Back
Top Bottom