Ndalilo
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 2,955
- 6,328
Ni kawaida kwa mwanamke mwenye elimu kubwa ya darasani kiasi cha kuajiriwa kukuta ni mwajiriwa au mjasiriamali. Sasa kwakuwa ni mtafutaji,anakuwa busy na kumweka h.g amlelee mtoto. H.g ni std 4 leaver,mtoto muda mwingi yuko na h.b,ambapo akili yake inatengenezwa kihvyo,
Je,jamii hiyo itaelimika kutokana na kuelimika kwa mwanamke huyo?
Je,jamii hiyo itaelimika kutokana na kuelimika kwa mwanamke huyo?