Ni kweli mtu akitumia dawa ya UKIMWI hawezi kumuambukiza mwenzake hata bila kutumia kinga?

Huo ndio ukweli,naamini kila mmoja wetu alishagonga demu victim ila kwavile wanatumia dozi hakuna maambukizimakubwa,mara ngapi umeuza mechi ila uko safe now,jibu ni matumizi fasaha ya ARV kwa unowagonga
Huu ndiyo ukweli mchungu kwamba kama ushatembea na wanawake 10 huenda mmoja alikuwa victim ila wewe umetoboa.
Kwa uhalisia mtu akigundulika ana HIV ni vema ahakikishe anawalinda wengine wasipate maambukizi kwa kutumia dawa vema au kwa kuhakikisha anasisitiza safe sex all the time.Taifa ni letu hili mtu anapowaambukiza watu maksudi chain inarudi hadi kwa watoto wake na ndugu zake inapain mno.

Ni vizuri tukahimiza watu kutambua kuwa sometimes tupo safe kwa kuwa Mungu alitujalia neema yake tu si kwa ujanja wetu
 
Mimi kidogo nipo tofauti, siamini kama kuna magonjwa ya kuambukiza.

Kuna siku watakuja kuafiki hili, ndio maana kuna kuja stori nyingi mara Kuna watu hawaambukizwi mara hivi mara vile.

Kama kweli Kuna magonjwa ya kuambukizwa, yule wa kwanza kabisa kuumwa alipata wapi huo ugonjwa ?

Akili inahitajika kufikiri juu ya mambo haya.
Pia ukifikiria magonjwa mengi ni biashara yaan kuna utata flan hivi
 
Kuna level ya viral load (idadi ya virusi vya HIV kwenye damu) ikifikia kuwa undetected (kutoonekana kwenye damu) inakuwa huwezi kumuambukiza mwenza wako hata mkijamiiana bila ya kinga.

Ila inataka ujasiri wa hali ya juu. Yani nikijua una ngoma sidhani hata kama mnara utasoma achilia mbali kupiga kavu.

Kama ni kweli jamaa anakula mzigo kavu basi mwamba jasiri hasa.
mwamba ni hamasi mtupu
 
kama umewahi kuishi baadhi ya sehemu au unandugu anaishi hizo sehemu, nirahisi kupata majibu!ni kweli unaweza kuoa au kuolewa na muathirika wa vvu kama home tunavyo penda kuita na, bado wewe na watoto mkawa wazima.
mind you apo bongo kila siku kuna watu wanalala na watu wenye vvu na hamjuani na ata ukienda leo kupima hauoni kama una vvu.Na wengine wanajua kabisa wamekutana na wenye vvu waliofaliki kwa kusikia tu misibani bt wakipima wako poa wanamini walisingiziwa waliokufa. Ndugu yangu nikupe habari ukimwi upo bt kwa sasa ni ugonjwa kama wa marelia kwa walio ishi kidogo ng'ambo watanielewa, mwisho wa siku mimi nisie kua na akili tawambia ukimwi ni mindset ya mtu na ndio maan weusi tulikufa sana.Naamin jf wana utafiti wapo wengi wataleta majibu?ukimwi akili yako imewaza nini ama wengine wanasena IQ yako ukubwa wake n upi? Japo sikatai tumepoteza ndugu na wapenzi wangapi je ulitambua IQ ya baba ako mama ako mpenzi wako mdg ako au kaka ako maana wengine ni urithi bishi tufungue mada yetu asee hii ya watu mzee
 

Hii couple maarufu huko TikTok ni kweli? Dada anasema kaathirika na kaolewa na mwanaume wana watoto na mume hajaathirika na HIV, na wanapendana kweli nadhani mliwaona walihojiwa wenyewe na walisema hawatumii condom.

Najiuliza ina maana DECEPTION alisema kweli kipindi kile au wanahamasisha watu wasiogope UKIMWI?

Je, kuna watu hawaambukizwi HIV?

Ni kweli mtu akitumia vizuri dawa ARV haambukizi wengine?

Je, UKIMWI ni fix tu?
Tumia kondomu Kenge wewe
 
Kuna level ya viral load (idadi ya virusi vya HIV kwenye damu) ikifikia kuwa undetected (kutoonekana kwenye damu) inakuwa huwezi kumuambukiza mwenza wako hata mkijamiiana bila ya kinga.

Ila inataka ujasiri wa hali ya juu. Yani nikijua una ngoma sidhani hata kama mnara utasoma achilia mbali kupiga kavu.

Kama ni kweli jamaa anakula mzigo kavu basi mwamba jasiri hasa.
Kabisa.
Pia changamoto nyingine ni kwamba hutaweza kujua siku ambayo viral load itapanda kuwa detected.
Ni sawa na kijiripua.
 
Ila kuna watu wanajua kupenda acha kabisa. Kuna mtu tunafanya nae kazi anampenda huyo mdada na mdada kamwambia ameathirika.

Jamaa haelewi hadi wakapima kwenye bibie kawaka.
Bibie anamwambia jamaa yeye hawezi kuwa na mtu ambaye hajaathirika hataki kunyanyapaliwa, huyu mwamba eti akamwambia “niambukize na mimi basi ili tuwe sawa”. Ilibaki kidogo nimlambe kofi alivyokuwa ananihadithia ila nikagundua mapenzi upofu.
Hapana bado ilitakiwa umlambe kofi aamke usingizini, ndoto mbaya sana hiyo.
 
Mi ndio maana napenda bwawa, maji mengi...hii minato hapana aisee. Hivi tunavyoenda kavu ni hatari sana, tunapimana kwa macho tu na kujipa majibu kuwa hii ni -ve. Ona binti alivyo mrembo, lazima uende bare footed!
Malambo makubwa yanasaidia sana, nayakubali kinoma. Na unashauriwa ukimaliza kupiga shoo tumia sabuni nawa chap huwa jamaa wanasombwa na mafuriko, japo inasaidia ila sijui kwa asilimia ngapi. Huwa nikirusha wazungu natoka nduki kama gari ya formula 1 kwenda kumuogesha abdallah kichwa wazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom