chlorine gas
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 2,544
- 2,694
- Thread starter
-
- #41
Asante kwa ushauriUnatakiwa upitie magumu ili ijifunze,baada ya hapo utakua ni mtu mpya mwenye furaha tele,kila kitu huja na hupita sema jambo likishapita yale makovu ndiyo training progress zenyewe.......nina experience ya kutosha katika mapenzi huwa na adapt mazingira
Na mateso juuEndelea kukamua dudu
Situmii na sintokuja kutumiaVuta sigara
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] linauzwa wapi hilo nkanunueTafuta bakabaka ukishalipata, yeye ndo atakuwa anakuonea wivu.Bakabaka NI VAZI TUKUFU SANA, UKILIPATA TUU, KILA KITU KITAKUWA KIZURI AU UKIPATA PESA TUU, ATAKUTAFUTA YEYE MWENYEWE NA KUKUONEA WIVU.
Huu n ukweli usiopingikaHalafu mapenzi na pesa havikai pamoja. Ukiwa mtu wa true love pesa haikutaki. Ila ukianza kuwa don't care unashangaa unapiga pesa kila jambo unalofanya.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] pamojaHuko uliko kaka. Komaa tuu, Mungu atakusaidia utapewa BURE KABISA.
SawaUsiwe na demu mmoja kwa afya ya moyo na akili yako....
How is that possible..love is serious mental illness
Fanya meditation kwa wingi utamsahau tu,
Mm nkiona.akili yangu unamuwaza sana mtu ambaye hana hisia zozote kwangu ni kumfuta kabisa ktk kchwan kwa kufanya meditation...
Ndioooo[emoji23] [emoji23] [emoji23]Sawa
Una umri gani!?.....maana kuna umri unapoanza mapenzi unakuwa unapenda mpaka unakuwa kama chizi!....si wengine tushakuwa makonki hatupendi kihivyoIweje furaha inageuka kua mateso mkuu?? Haya ninayopitia ni zaidi ya mateso
Mm nahc huu ni ugonjwaUna umri gani!?.....maana kuna umri unapoanza mapenzi unakuwa unapenda mpaka unakuwa kama chizi!....si wengine tushakuwa makonki hatupendi kihivyo
Ndioooo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mmmh sijuiSasa mbona ulinikimbia, kwa ile ishu
Mmmh sijui
OkayPoa nakushtua tena