Ni kweli mapenzi yana nguvu

Umependa usipopendwa, feelings zingekuwa mutual ungeinjoy balaa. Hakuna kitu kitamu hapa duniani kama kukutana mnaotoshana.
 
Umependa usipopendwa, feelings zingekuwa mutual ungeinjoy balaa. Hakuna kitu kitamu hapa duniani kama kukutana mnaotoshana.
Nmpiga chin huyu natafuta kidigidigi kingine cha kutafuna huyu ananitesa tyuu[emoji15]
 
Be a man and walk away sometime put your own interest first so
Pain is inevitable but suffering is optional
 
Unatakiwa upitie magumu ili ijifunze,baada ya hapo utakua ni mtu mpya mwenye furaha tele,kila kitu huja na hupita sema jambo likishapita yale makovu ndiyo training progress zenyewe.......nina experience ya kutosha katika mapenzi huwa na adapt mazingira
 
..love is serious mental illness

Fanya meditation kwa wingi utamsahau tu,
Mm nkiona.akili yangu unamuwaza sana mtu ambaye hana hisia zozote kwangu ni kumfuta kabisa ktk kchwan kwa kufanya meditation...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…