chlorine gas
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 2,540
- 2,683
Shida iko hapo mkuu, yaan moyo hautaki kbsa Mana nkifikiri tabu nliyopata kipindi cna mahusiano nilikua nasugua puli balaaUkiona mapenzi yanakupa tabu achana nayo fanya mambo mengine.
Iweje furaha inageuka kua mateso mkuu?? Haya ninayopitia ni zaidi ya matesoKomaa mzee baba.thats love..ukiona hvyo ndio ujue ushapenda..
si mchezo
Mwanaume ukiwa na wivu saana Wallah utakufa hata tusijue umekufa kufaje!!
Sio kua kazi sifanyi mkuu ila yamechukua nafasi kubwa sana cjajua kwa nn na sio kwa huyu tu kwa mahusiano kadhaa nliyopitiahiyo ni ishara huna malengo kwenye maisha yako au malengo yako madogo.
Mwanaume mwenye focus ya maisha na vitu vya msingi anawaza mapenzi baada ya kumaliza kufanya vitu vya msingi,jioniiii au weekend sasa we mwenzetu huo mda wa kuwaza mkeo au mpenzi wako mds wote unatoa wapi?????
mi nazamaga kwenye mishe zangu asubuh nasahau kbs km nina mwanamke mpk lunch au jioni ndo nskumbuka kila siku nasemwa lkn nasahau
Pale Kadume ka Dar kanapolilia mapenzi!
Hili linaweza kua afwadharii mkuuTatizo unae mmoja tu, tafuta mwingine wawe wengi ili usiumie sana.
Vp ulishapima kama diameter ipp sawa?Hellow members
Nmekua nikiwaza sana ni kweli Mapenzi au kupenda ni hisia ambazo hazichoshi ila kwa nini zinaniumiza??kila muda namuwaza yeye tu hata nashindwa kufanya mambo mengine nikipiga cm akichelewa kupokea naingiwa na wasi wasi labda anachepukajaman mapenzi yananienyesha mm chlorine gas kuna wakati nafikiria, hv kwa maumivu haya ni bora niwe single tu lakini roho haitaki Mana mwili umechoka kukung'uta punyeto ,jaman naomba kuuliza kuna nguvu gani kwenye mapenzi yaaan nashindwa nifanyeje ukizingatia kidume mm nina wivu balaa.