Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
ni kweli fimbo ya mbali haiui nyoka.....lakini fimbo ndefu inauaWakuu fimbo ya mbali haiui nyoka, mbona mnataka kuwadharau wahenga wetu?
ni kweli fimbo ya mbali haiui nyoka.....lakini fimbo ndefu inauaWakuu fimbo ya mbali haiui nyoka, mbona mnataka kuwadharau wahenga wetu?
yanadumu inabidi udumishe mawasiliano,na pia huu ni ulimwengu wa mtandao.yanadumu baana,.....kwani mpenzi wako yuko mbali?....relax yanadumu
kwangu naona yanadumu bt wengi wanasema hayadumu je,ni kweli?
cjawahi ndio nataka nianze kujaribu.
Yanaweza yakadumu ila cheating yake sasa wee......!! Most of people ambao wapo kwenye long distance relationship huwa wanashindwa kuvumilia/kucontrol hisia zao za kimwili na wengi wao hujikuta wanacheat. So, yanahitaji uvumilivu wa hali ya juu sana. Ikiwa mnapendana na mna nia ya dhati, basi mtavumiliana na mtatimiza malengo yenu ila cha muhimu mnachotakiwa kukilinda katika uhusiano wenu ni mawasiliano, ofcourse mkizembea hapo tu mmekwisha!! Endapo kila mmoja wenu atatambua kuwa mahusiano yanadumishwa na "mapenzi ya dhati toka moyoni" na sio sex, basi hiyo itakuwa silaha yenu.