Ni kweli Lowasa anatoa Rushwa au anasaidia

Ni kweli Lowasa anatoa Rushwa au anasaidia

Joined
Jan 12, 2015
Posts
27
Reaction score
10
Nimekuwa nikifuatilia kwa muda sasa. Nasikia habari za Edward Lowassa kina Membe na wengine wengi. Ni kweli kila chama kina taratibu na ni vizuri hizo taratibu ziheshimiwe. Lakini nmejaribu kujiuliza mara nyingi hivi Edward Lowassa anatoa Rushwa au anasaidia watu? Kama anatoa Rushwa je kumsaidia mtu au jamii ni rushwa? Lakini kama sio rushwa kwanini speed ya kusaidia iongezeke kipindi hiki? Wana JF tusiwe wanafki tuseme ukweli tatizo kwa Edward Lowassa ni nini??
 
Acha kuongea vitu ambavyo havina maana mtu akisaidia hiyo ni rushwa?au ni chuki tu zisizo na maana?
 
Nimekuwa nikifuatilia kwa muda sasa. Nasikia habari za EL kina Membe na wengine wengi. Nikweli kila chama kina taratibu na nivizuri hizo taratibu zi heshimiwe. Lakini naimejalibu kujiuliza mara nyingi hivi EL anatoa Rushwa au anasaidia watu? Kama anatoa Rushwa je kumsaidia mtu au jamii ni rushwa? Lakini kama sio rushwa kwanini speed ya kusaidia iongezeke kipindi hiki? Wana jf tusiwe wanafki tuseme ukweli tatizo kwa EL nini??

Ni rushwa sababu ya taimingi.
Alianza kutoa hiyo "misaada" lini? Na kama alianza kitambo, mbona alikuwa haifanyii publicity za kiutu uzima? Ni rushwa hiyo all day! Anategemea kulipwa fadhila.
 
anatoa rushwa, , kuna rafiki yangu alikuwa anahitaji kufanyiwa operation nikamshauri amfuate lowasa akafanya hivyo akaonana naye lakini akawa anamsumbua njoo kesho , njoo kesho nikashangaa lowasa ninayemjua mimi anakuwaje na kalenda hivyo ela yenyewe iliyohitajika hata milioni haifiki . alimpiga kalenda karibu wiki nzima mwishoni akampa elfu ishirini . Hapo ndipo nilipo jua kwamba lowasa anatoa ela kwa makusudio maalum na hiyo ndiyo Rushwa . Hivyo Lowasa anatoa rushwa hasaidii watu.
 
wee acha uboya ,unadhani yee ana kiwanda cha ela ulivyomtuma huyo rafiki yake au.....we unadhani ana ela ya kumpa kila mtu?
 
wee acha uboya ,unadhani yee ana kiwanda cha ela ulivyomtuma huyo rafiki yake au.....we unadhani ana ela ya kumpa kila mtu?

sawa , Lakini hoja iliyopo ni kwamba anasaidia au anatoa rushwa . kwa maelezo hayo niliyoyatoa lowasa anatoa rushwa hasaidii watu . kama hukubali huo ndio ukweli. tena afadhari uende kwa mengi atakusaidia kuliko kwenda Lowasa kama mtu wa kawaida, ila kama ww mjumbe wa nec atakupa
 
anatoa rushwa, , kuna rafiki yangu alikuwa anahitaji kufanyiwa operation nikamshauri amfuate lowasa akafanya hivyo akaonana naye lakini akawa anamsumbua njoo kesho , njoo kesho nikashangaa lowasa ninayemjua mimi anakuwaje na kalenda hivyo ela yenyewe iliyohitajika hata milioni haifiki . alimpiga kalenda karibu wiki nzima mwishoni akampa elfu ishirini . Hapo ndipo nilipo jua kwamba lowasa anatoa ela kwa makusudio maalum na hiyo ndiyo Rushwa . Hivyo Lowasa anatoa rushwa hasaidii watu.

Evidence please ...talk sense
 
Lowasa hatoi rushwa bali anawadhihirishia wananchi kuwa ana uwezo wakwake kabla ata ya kwenda ikulu....by da way huyu jamaa ana utajir alorith toka kweny familia so tusifikir vibaya.....HILI NDO TUMAINI LA WATANZANIA
 
Lowasa hatoi rushwa bali anawadhihirishia wananchi kuwa ana uwezo wakwake kabla ata ya kwenda ikulu....by da way huyu jamaa ana utajir alorith toka kweny familia so tusifikir vibaya.....HILI NDO TUMAINI LA WATANZANIA

acha umbwiga weyee
MANJI ANAUTAJIRI MARA 100 WA LOWASA KWASASA ANATUMIA ZA BABU YAKE BADO ZA BABA YAKE HAJAZIGUSA SASA SIJUI ZA KWAKE ATATUMIA LINI.. JE AKIGOMBEA URAIS INAMANA TUTAMPA KWA UTAJIRI WAKE AUUU?????
 
ACHENI UBOYA YEYE ANASAIDIA SIO KUTOA RUSHWA,,,,KWANI MTU AKISAIDIA NI RUSHWA AU NDO MMEANZA CHUKI ZENU?HIVI NYIE CHUKI HAZIISHI?LOWASSA. Ni jembe na anakubalika
 
Naona mmemtumbulia macho kama fundi saa,,hivi nyie mtu akitoa au kusaidia ni tatizo na kama ni pesa yeye alikuwa na pesa kabla so wew pimbi usiongee vitu kwa kukurupuka,,,
 
Lowasa hatoi rushwa bali anawadhihirishia wananchi kuwa ana uwezo wakwake kabla ata ya kwenda ikulu....by da way huyu jamaa ana utajir alorith toka kweny familia so tusifikir vibaya.....HILI NDO TUMAINI LA WATANZANIA

Utumbo mtupu
 
Back
Top Bottom