Ni kweli kuna bomu limelipuka huko kibaha?

Ni kweli kuna bomu limelipuka huko kibaha?

Ziroseventytwo

Platinum Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
9,157
Reaction score
17,051
Kuna yaarifa nimepata kuwa kuna bomu limelipuka huko kibaha toka kambi ya jeshi na kuangukia kwenye nyumba ya mama mmoja.

Mlioko huko kibaha kama hii taarifa ni ya kweli mtujuze
 
Kuna yaarifa nimepata kuwa kuna bomu limelipuka huko kibaha toka kambi ya jeshi na kuangukia kwenye nyumba ya mama mmoja.

Mlioko huko kibaha kama hii taarifa ni ya kweli mtujuze
Taarifa umepata kutokea kwa nani na saa ngapi
 
Taarifa umepata kutokea kwa nani na saa ngapi
Kuna jamaa yangu yupo maeneo ya gapo maili moja kibaha kaniambia kama dk 15 zilizopita. Nikaja huku jf kucheki sijaiona hiyo taarifa that's y nikauliza kama ni kweli hili tukio limetokea
 
kama huna uhakika wanaweza kufuta huu uzi wako hawa mods, maana hawachelewi
 
Kuna jamaa yangu yupo maeneo ya gapo maili moja kibaha kaniambia kama dk 15 zilizopita. Nikaja huku jf kucheki sijaiona hiyo taarifa that's y nikauliza kama ni kweli hili tukio limetokea
anhaa fanya kupata taarifa rasmi kwanza
 
Kuna yaarifa nimepata kuwa kuna bomu limelipuka huko kibaha toka kambi ya jeshi na kuangukia kwenye nyumba ya mama mmoja.

Mlioko huko kibaha kama hii taarifa ni ya kweli mtujuze

Nasikia kuna Mtu tu alikuwa anajisaidia Vichakani ' Haja Big ' maeneo hayo ndiyo bahati mbaya ' akajamba ' na kutokana na mseto wa Vyakula alivyokula na Kiporo alichoamka nacho akasababisha mlio uwe ' tishio ' hadi Watu kudhania labda ni mlipuko wa Bomu.
 
Wabongo na mabomu wapi na wapi.......
wakisikia sauti kubwa hata la kubust kwa tairi ya gari na vumbi watasema bomu.
 
Nasikia kuna Mtu tu alikuwa anajisaidia Vichakani ' Haja Big ' maeneo hayo ndiyo bahati mbaya ' akajamba ' na kutokana na mseto wa Vyakula alivyokula na Kiporo alichoamka nacho akasababisha mlio uwe ' tishio ' hadi Watu kudhania labda ni mlipuko wa Bomu.
 
Nasikia kuna Mtu tu alikuwa anajisaidia Vichakani ' Haja Big ' maeneo hayo ndiyo bahati mbaya ' akajamba ' na kutokana na mseto wa Vyakula alivyokula na Kiporo alichoamka nacho akasababisha mlio uwe ' tishio ' hadi Watu kudhania labda ni mlipuko wa Bomu.
Nawasiwasi na jinsia yakoo
 
Back
Top Bottom