Ni kweli kuhusu Rais Magufuli?

Ni kweli kuhusu Rais Magufuli?

Wewe kweli ni kichwa embe.
Hujui impact ya uzushi kwenye media inavyoathiri jamii?
 
Kwanza ni mpongeze kwa kazi nzuri inayoifanya ya kujenga taifa imara.

Swali, kuna nguvu Kubwa nyuma ya pazia kupitia vyombo vya habari, baadhi vinavyomilikiwa na wahuni wachache, ambao wanalengo la kukwamisha juhudi za mheshimiwa Magufuli, kwa kuamua kupotosha ukweli halisi wa hatua anazochukua dhidi ya uhalifu nchini dhidi ya raslimali zetu.

Je? Rais Magufuli atakwama kwa kua magazeti hayaandiki mazuri atendayo kwa taifa hili.
Je kwa Tanzania ya sasa source ya habari ni magazeti pekee?
Mkuu mleta mada, nadhani unakumbuka nguvu kubwa ya magazeti iliyotumika kwa ajili ya kutaka kumfanya JPM asishinde urais wakati ule wa kampeni.

Ni magazeti yale yale ambayo wakati ule yalijaribu kuizima nguvu ya CCM ambayo kwa sasa yanaendelea kupambana na awamu ya tano. Lakini kinachoongozwa na mapenzi ya Mungu siku zote hupata upinzani wa muda tu halafu baadae wengi huelewa lengo jema.

Wanasema fedha hazipo kwenye mzunguko, walitaka fedha ya matanuzi ya kuishi kifahari mijini, lakini tunavyoongea halmashauri zote 184 za nchi hii zinategemewa kupatiwa vitu muhimu kama vitanda na mashuka. Fedha za matanuzi ndizo hizi zinazokwenda kushughulikia afya za watanzania maskini.

Ni rahisi sana kumchukia kiongozi ambaye anapambana na urasimu wenye kuwafaidisha wachache waliozoea kuishi kifahari kuliko kuwa na subira kwa kile chema ambacho kinalenga katika kuwafaidisha walio wengi.
 
Kwanza ni mpongeze kwa kazi nzuri inayoifanya ya kujenga taifa imara.

Swali, kuna nguvu Kubwa nyuma ya pazia kupitia vyombo vya habari, baadhi vinavyomilikiwa na wahuni wachache, ambao wanalengo la kukwamisha juhudi za mheshimiwa Magufuli, kwa kuamua kupotosha ukweli halisi wa hatua anazochukua dhidi ya uhalifu nchini dhidi ya raslimali zetu.

Je? Rais Magufuli atakwama kwa kua magazeti hayaandiki mazuri atendayo kwa taifa hili.
Je kwa Tanzania ya sasa source ya habari ni magazeti pekee?
Mimi nikimuono ktk tv nabadili chanel.
 
None of them, naona amekuja kutukana tu vyombo binafsi vya habari..

yy chombo kizuri cha habari ni kile kinachosifia serikali,

alafu jamaa anainekana kichwani kwake hamna kitu.. toka lini chombo cha habari kikaweza kukwamisha maendeleo yanayofanywa na Serikali

Inaonekana wewe bado mtoto. Vyombo vya habari vina nguvu kubwa ya uchochezi na ndivyo vilivyochochea mauaji ya halaiki kule Rwanda.
 
Kama mtaji walitafuta wenyewe ya nini wapangiwe cha kuandika??
 
..atakwama kwasababu serikali ina hali mbaya kifedha.

..miradi ya maendeleo imepewa asilimia isiyozidi 35% ya kiwango ilichopangiwa na bunge.

..according to CAG serikali imeshindwa kuchangia mafao ya wafanyakazi ktk mifuko ya hifadhi ya jamii. Hili ni tatizo kubwa.

..sekta ya kilimo inachechemea. Takwimu toka vyanzo tofauti zinaonyesha ukuaji ktk sekta hiyo ni chini ya asilimia 2%.
Nimpende yeye ni Yesu? Mtu gani anafurahia chakula kiongezeke bei.
 
Kwanza ni mpongeze kwa kazi nzuri inayoifanya ya kujenga taifa imara.

Swali, kuna nguvu Kubwa nyuma ya pazia kupitia vyombo vya habari, baadhi vinavyomilikiwa na wahuni wachache, ambao wanalengo la kukwamisha juhudi za mheshimiwa Magufuli, kwa kuamua kupotosha ukweli halisi wa hatua anazochukua dhidi ya uhalifu nchini dhidi ya raslimali zetu.

Je? Rais Magufuli atakwama kwa kua magazeti hayaandiki mazuri atendayo kwa taifa hili.
Je kwa Tanzania ya sasa source ya habari ni magazeti pekee?
du....naona Bashite kachachamaa humu JF kwa kuja na IDs kibao!
 
Acha ujinga jomba, kama kuna sehemu wajinga wamejaa basi ni ndani ya jukwaa hili.
Toka matusi yalipoluhusiwa badala ya kushindana kwa hoja ndipo umaarufu ulianza kupotea.
Sasa kuna greater thinker wachache na wahuni wengi mithiri yako ambao huibuka kwa mistari miwili mpaka mitatu iliyojaa matusi.
Mnatumika nn?
Jifunze ku quote
 
Haaa haaa upo cocochanel?

Nipo nimejaa tele, nafurahia mapumziko siku hizi kwasababu watu wameanza kunyooka kidogo kidogo.

Jana RC alikuwa uwanja wa Taifa na Mwigulu uliwaona?
 
None of them, naona amekuja kutukana tu vyombo binafsi vya habari..

yy chombo kizuri cha habari ni kile kinachosifia serikali,

alafu jamaa anainekana kichwani kwake hamna kitu.. toka lini chombo cha habari kikaweza kukwamisha maendeleo yanayofanywa na Serikali
Magufuli mwenyewe anadharau vyombo vya habari na haoni kama ni mhimu, mtakumbuka siku ile anawaapisha akina Mwakyembe alisema vyombo vya habari vinapiga kelele wakati kijijini watu hawaelewa vyombo vya habari vinasema nini.
 
Nipo nimejaa tele, nafurahia mapumziko siku hizi kwasababu watu wameanza kunyooka kidogo kidogo.

Jana RC alikuwa uwanja wa Taifa na Mwigulu uliwaona?
Na wewe ulikuwepo kama kawaida yako?
 
Nipo nimejaa tele, nafurahia mapumziko siku hizi kwasababu watu wameanza kunyooka kidogo kidogo.

Jana RC alikuwa uwanja wa Taifa na Mwigulu uliwaona?
Cocochanel natamani nikuone unafananaje ,jinsi ulivyojivalisha manguo ya kijani na njano mwili mzima,sipati picha!
 
Mkuu jihadhari na lugha za kujipendekeza.Hakuna mtu anayekwamisha juhudi za rais. Rais hawezi kufanya kazi peke yake ,anahitaji watendaji, ndiyo sisi. Hakuna anayemkwamisha ila yeye hapendi ushauri.
 
Back
Top Bottom