Ni kwanini wengine wanacheza na hisia za wengine?

Ni kwanini wengine wanacheza na hisia za wengine?

Kamtumia au wametumiana???? Hayo mahitaji si yalikuwa makubaliano baina ya pande zote 2?? Kwanini ionekane mmoja ndio alikuwa anahusika??
Wakuu ni kwanini wengine wanacheza na hisia za wengine.

Haiwezekani umdanganye dada wa watu umtumie utakavyo,alafu ukishamaliza maihitaji yako unaingia mitini.

Je ni sahihi wakuu?
 
Wakuu ni kwanini wengine wanacheza na hisia za wengine.

Haiwezekani umdanganye dada wa watu umtumie utakavyo,alafu ukishamaliza maihitaji yako unaingia mitini.

Je ni sahihi wakuu?

Na kwanini jinsia ya kike iwe victim kwa the whole relationship?

Mwanaume hana hisia ama?

Ina maana mwanamke hana maamuzi yake ya kuamua asidanganywe? Hili la kuchezewa ni kichekesho

Narudia kusema acheni kuwafanya wanawake kama special group
 
The biggest coward is a man who awakens a woman's love
with no intention of loving her.
 
Na kwanini jinsia ya kike iwe victim kwa the whole relationship?

Mwanaume hana hisia ama?

Ina maana mwanamke hana maamuzi yake ya kuamua asidanganywe? Hili la kuchezewa ni kichekesho

Narudia kusema acheni kuwafanya wanawake kama special group
Hahaha wanaume hisia hatuna aiku hizi

Over
 
Back
Top Bottom