Jokajeusi
JF-Expert Member
- Jun 1, 2018
- 6,305
- 10,582
Hakika umenena mkuu..Mwanaume lazima uoe mwanamke bikra, ukioa mwanamke ambaye sio bikra au single mother athari zake utakuja kuziona uko mbele.Ndoa nyingi zimeharibika kwa sababu walio wanawake ambao sio bikra, nimeoa mwanamke bikra mwaka 8 huu ktk ndoa hajawahi kuniletea kiburi wala dharau na familia yangu ina furaha kila wakati.
Kuoa bikra ni baraka kwa familia ata watoto wanakuwa vizuri kiakili
Mimi ni shahidi kwa hili Mkuu.
Nimeoa Bikra naongea kutokana na Uzoefu.