kityentyee
Member
- Mar 9, 2021
- 72
- 338
Amani iwe nanyi bandugu,, natumai muwazima wa afya. Bila kupepesa macho wala kuzunguka zunguka napenda kuwaletea kwenu swali fikirishi hili,,,,,
Hivi ni kwanini wanaume kwa asilimia kubwa wengi hufa mapema or hutangulia kufa kuliko wanawake? Najiuliza swali hili sana kwa kutumia experience zangu tu katika maisha yetu haya ya nyumbani TZ na hata nje ya Tz.
Utakuta kuna familia nyingi sana zina wajane ,,,wanawake wengi sana wamefiwa waume zao,,,hata vifo vingi ukifuatilia ni vijana wa kiume na wanaume wengi tu wanakufa sana hii sijui ni kwa sababu gani.
Ukijaribu kufuatilia mifano mingi ya watu maarufu duniani waliokufa na kuacha wake zao utagundua kuna kaukweli fulani kanakuja akilini kuhusu hiki ninachokisema.
SAJUKI~wastara,,,,,,JK NYERERE ~mama maria,,,,JPM~mama Janneth,,,,,,BW MKAPA~ mama Anna mkapa,,,,MANDELA,,,,MUGABE,,,,Na hivi juzi juzi uingereza wamefiwa na mume wa malkia Elizabeth,,,,na wengine weeengi mnaweza kuongezea na nyinyi bandugu.
Naweza kuwa nipo shallow sana kuelezea hiki nilichokiandika ila tu hiki kitu kinafikirisha sana katika hali ya kawaida mtagundua tu kwamba asilimia kubwa wanaume wengi wanawahi kufa kuliko wanawake,,,,na kuwaacha wanawake wakiwa bado wanadunda tu.
Niombe radhi kwenu kama kuna pahala ntakua nimeteleza katika uandishi wangu ila tu naomba mchango na mawazo yenu bandugu.
Hivi ni kwanini wanaume kwa asilimia kubwa wengi hufa mapema or hutangulia kufa kuliko wanawake? Najiuliza swali hili sana kwa kutumia experience zangu tu katika maisha yetu haya ya nyumbani TZ na hata nje ya Tz.
Utakuta kuna familia nyingi sana zina wajane ,,,wanawake wengi sana wamefiwa waume zao,,,hata vifo vingi ukifuatilia ni vijana wa kiume na wanaume wengi tu wanakufa sana hii sijui ni kwa sababu gani.
Ukijaribu kufuatilia mifano mingi ya watu maarufu duniani waliokufa na kuacha wake zao utagundua kuna kaukweli fulani kanakuja akilini kuhusu hiki ninachokisema.
SAJUKI~wastara,,,,,,JK NYERERE ~mama maria,,,,JPM~mama Janneth,,,,,,BW MKAPA~ mama Anna mkapa,,,,MANDELA,,,,MUGABE,,,,Na hivi juzi juzi uingereza wamefiwa na mume wa malkia Elizabeth,,,,na wengine weeengi mnaweza kuongezea na nyinyi bandugu.
Naweza kuwa nipo shallow sana kuelezea hiki nilichokiandika ila tu hiki kitu kinafikirisha sana katika hali ya kawaida mtagundua tu kwamba asilimia kubwa wanaume wengi wanawahi kufa kuliko wanawake,,,,na kuwaacha wanawake wakiwa bado wanadunda tu.
Niombe radhi kwenu kama kuna pahala ntakua nimeteleza katika uandishi wangu ila tu naomba mchango na mawazo yenu bandugu.