Wanamuogopa lipumba ccmNajua wengi mtanipinga ila ukweli
Ni kwamba tangu kampeni zimeanza vyombo habari vimekuwa vikiripoti kuhusu kampeni za chadema na ccm
Pia vimekuwa vikipamba wagombea wa chadema na ccm
Je kwanini kuhusu cuf Kama vile
Kimya sana
Cuf IPI maana ziko mbili lakinj mfuNajua wengi mtanipinga ila ukweli
Ni kwamba tangu kampeni zimeanza vyombo habari vimekuwa vikiripoti kuhusu kampeni za chadema na ccm
Pia vimekuwa vikipamba wagombea wa chadema na ccm
Je kwanini kuhusu cuf Kama vile
Kimya sana
Kweli wewe na mbwa tasa hamna tofauti ni kweli kabisa chadema walimnunua Lipumba wakampeleka Rwanda kisha wakamkarudishia uenyekiti kibabe wakampatia na ruzuku huku wakimlinda afanye fujo mikutano ya cufKwa kweli hawatendi haki ila chadema walaaniwe kwa kuisambaratisha Cuf!
Kwa kweli kama Chadema kimeisambaratisha Cuf basi yule Maalim ndio amekuwa mpini wa shoka iliyowafyeka CUF.Kwa kweli hawatendi haki ila chadema walaaniwe kwa kuisambaratisha Cuf!
Umesahau mapema lipumba nafsi ilimsuta ujio wa lowassa,aliletwa na mbowe chairman wa chadema umeelewa wewe ngulula!Kweli wewe na mbwa tasa hamna tofauti ni kweli kabisa chadema walimnunua Lipumba wakampeleka Rwanda kisha wakamkarudishia uenyekiti kibabe wakampatia na ruzuku huku wakimlinda afanye fujo mikutano ya cuf