Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Kwa mimi ninavyohisi...Bibie Judy afaa kuitwa miss
Jinale hajabadili...bado aweza kuitwa mwali
Ikiwa hajaolewa ....na nyumbani hajatolewa
Usianze kumdiss ...kwa yeye kukunyima kiss!
🙂
Ee Lizi,
Njoo nikupe ndizi,
Nikuzamishe na mbizi,
Nivute yako shimizi,
Ninyonye kama mbuzi,
Nikutekenye kama sisimizi,
Mwisho niseme 'Ahsante Lizi'.
Ee Lizi,
Njoo nikupe ndizi,
Nikuzamishe na mbizi,
Nivute yako shimizi,
Ninyonye kama mbuzi,
Nikutekenye kama sisimizi,
Mwisho niseme 'Ahsante Lizi'.
Hapa tumeingia kwa mama mkwe,
Sie tusio na tunzi wala vina tutatumia lugha gani wajameni?
Naona MMU imefikia TBS!!!
Babu DC
Ehhhh tafadhali unikome na sio unikomalie...
Nna wangu mpenzi hilo ulitambue...
Usije nizulia zogo nyumbani anitimue..
Au utolewe ngeu polisi ukimbie...
Utuletee balaa familia kutuvunjia...
Kwa chako kimbelembele vya wenzio kuvizia..
Kwa hisani ya baba mchungaji a.k.a Rev Masa!🙂
liz mwali kavishwa peteKwa mimi ninavyohisi...Bibie Judy afaa kuitwa miss
Jinale hajabadili...bado aweza kuitwa mwali
Ikiwa hajaolewa ....na nyumbani hajatolewa
Usianze kumdiss ...kwa yeye kukunyima kiss!
🙂
liz mwali kavishwa pete
Rijali tayari kukata utepe
Mwali uzuri wake kama kachori
umbo lake la kati, Mtamu kama jodari
kabisa babu lol,mzima lkn?nimelimiss jitambi lako
Ahsante sana dadangu,
Litambi limepukutika kama maembe ya msimu! Inshallah nitarudi soon.
Pete gani isooekana hata asitambulike..
Rijali mwenye tamaa haifai aaminike..
Sifa atajimwagia mradi asifike...
Mwenzie atamharibia ili asipendeke...
Judi nijibu swali, kwa nini unaitwa 'Misi'?
Ni mwembamba yako hali, au mrembo tausi?
Ulimi wako asali, wa tamaa kama fisi?
Ni kweli wewe ni 'Misi', nijuze mie rijali.
Pichani sio kigoli, iweje uitwe 'Misi"?
Hulandani nao wali, kuna vitu vinamisi,
Hauna ndoa halali, ni kwanini 'Misi' basi?
Ni kweli wewe ni 'Misi', nijuze mie rijali.
Judi nakiri mkali, usotishwa naye pusi,
Ingawa nakwona mbali, nimekuchunguza nyusi,
Wewe ni mama halali, sioni wako 'umisi',
Ni kweli wewe ni 'Misi', nijuze mie rijali.
Jina limeleta zogo, butege umeisha wema,
Mbona hilo bado dogo, kubwa u bado kusema,
Nahisi wewe kigogo, wameza bila kutema,
hata usiwe rijali, sikufichi miye misi
misi ni lao wazungu, sie kwetu mlimbwende,
adimu kama uvungu, hupati hata upinde,
japo uwinde kwa rungu, miye napiga umande,
hata usiwe rijali, sikufichi miye misi
vipi usome picha, watesa yako akili,
wakodoa hadi kucha, eti Judi mkali,
heri kutafuna kucha, ukwepe yangu makali,
hata usiwe rijali, sikufichi miye misi
bado kufikwa umama, hilo nalo naringia,
bikira yangu ni njema, wengi wanaizingia,
heri wajua mapema, japo huwezi sogea
hata usiwe rijali, sikufichi miye misi
Wanachana mashairi,
Hata babu anakiri,
Lizzy nawe una habari,
Mebobea kisharishari.
Jamani babu jamani mbona wanijaza sifa...Wanachana mashairi,
Hata babu anakiri,
Lizzy nawe una habari,
Mebobea kisharishari.
Jina limeleta zogo, butege umeisha wema,
Mbona hilo bado dogo, kubwa u bado kusema,
Nahisi wewe kigogo, wameza bila kutema,
hata usiwe rijali, sikufichi miye misi
misi ni lao wazungu, sie kwetu mlimbwende,
adimu kama uvungu, hupati hata upinde,
japo uwinde kwa rungu, miye napiga umande,
hata usiwe rijali, sikufichi miye misi
vipi usome picha, watesa yako akili,
wakodoa hadi kucha, eti Judi mkali,
heri kutafuna kucha, ukwepe yangu makali,
hata usiwe rijali, sikufichi miye misi
bado kufikwa umama, hilo nalo naringia,
bikira yangu ni njema, wengi wanaizingia,
heri wajua mapema, japo huwezi sogea
hata usiwe rijali, sikufichi miye misi
Kawadanganye watoto, sio mie kijogoo,
Bikira kwako ni ndoto, ilishafichwa stoo,
Palishafanywa mapito, kabomoa komandoo,
Milioni naitoa, kama hiyo bado njema.