Naanza kwa kuwatakia jumapili njema,na kwa wale ndugu zetu waislam nawatakia mfungo mwema! Kuna mada ambayo naomba leo mnisaidie: wasichana wengi wa kitanzania siku hizi hawana mapenzi ya kweli wanachozingatia ni kiwango cha pesa ulichonacho, wanauza penzi kama bidhaa zingine! Kinachonisumbua ni kwamba kwani kipindi cha nyuma matajiri na mafukara hawakuepo? Na kama walikuepo kwa nini walikuwa na mapenzi ya dhati kuliko kizazi hiki cha digitali? Mnisaidie michango yenu wanajamii