GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Naomba kujua kutoka kwenu wadau kwani nimeanza mchakato wa kutengeneza Bunduki ambayo natarajia kuwa itakuwa bora na ya kisasa sana kwa self defence,vita n.k.
Ni mwezi wa 9 sasa niko kwenye mchakato huo lakini kuna mtu kanitahadharisha na kuniambia kuwa nikikamilisha tu mpango huo nijiandae kwa maisha ya gerezani au kufuatwa fuatwa kwani ni jambo lisilotakiwa kabisa.
Kwa kuwa aliyeniambia ni mwanasheria na hatukupata muda wa kuongea zaidi kwani kwa sasa ni marehemu nataka kujua kutoka kwebnu wadau hili nalo ni kosa?
Ni mwezi wa 9 sasa niko kwenye mchakato huo lakini kuna mtu kanitahadharisha na kuniambia kuwa nikikamilisha tu mpango huo nijiandae kwa maisha ya gerezani au kufuatwa fuatwa kwani ni jambo lisilotakiwa kabisa.
Kwa kuwa aliyeniambia ni mwanasheria na hatukupata muda wa kuongea zaidi kwani kwa sasa ni marehemu nataka kujua kutoka kwebnu wadau hili nalo ni kosa?