Ni kosa kubwa wakenya kutompa urais Raila Odinga

Hatuna madini ya kuliwa na Wachina, wameitafuna nchi yenu hadi imebaki mahandaki. Huwa mnawaita eti ndugu zenu na kuwavisha kofia za vyama.

baloz-jpg.113407
Hebu ficha aibu yako! Alokwambia kuliwa na wachina hadi uwe na madini ni nani? So far wachina hapa Tanzania hawajawekeza kwenye madini, wako idara nyingine!


Hapo kwenu wachina wamewaibia kwenye sgr, wamewadanganya na kuwanunulia kiberenge kinachofuka moshi tiiiii,tena kwa gharama kubwa sana, ila mnawakenulia meno na kulinganisha gharama zenu na zile za boko haram wa Nigeria ili kuficha aibu!


http://www.businessdailyafrica.com/...st-effective/539548-2977014-6cb6c4/index.html

Yaani SGR wamewaibia mchana kweupe hadi wameajiri ndg zao kufagia na kuwaacha wakenya wakihangaika bila ajira

WhatsApp-Image-2017-07-19-at-10.11.33-AM1.jpeg
WhatsApp-Image-2017-07-19-at-10.11.33-AM.jpeg
WhatsApp-Image-2017-07-19-at-10.11.32-AM.jpeg
 
mnawaita eti ndugu zenu na kuwavisha kofia za vyama.
.
Tatizo lenu ninyi wachina mmewajua jana, sisi tumeshirikiana nao toka miaka ya sitini, hata UN sisi (Salim Ahmed Salim) tuliwapigania na kuwapigia kura ili watambulike kwenye security council wakati huo nyinyi wala hamjui kitu chochote kuhusu mikakati ya kidiplomasia.

Na siyo UN tuu kuna mambo mengi tuliyoshirikiana nao kwa miaka mingi. Nyinyi mmekurupuka juzi tuu kuanza ushirikiano nao wakati kunakucha?
 
Eti tupige kura huku tunaangalia tz? Majirani tunao wengi, U.G, Ethiopia, S.Sudan, Somalia. Heri ungesema Somalia maanake wakenya wanataka kujua kwa miaka mitano ijayo serikali itaweka mikakati gani ya kuiwezesha kupambana na ugaidi ifaavyo.
 
Hebu ficha aibu yako! Alokwambia kuliwa na wachina hadi uwe na madini ni nani? So far wachina hapa Tanzania hawajawekeza kwenye madini, wako idara nyingine!

Hapo kwenu wachina wamewaibia kwenye sgr, wamewadanganya na kuwanunulia kiberenge kinachofuka moshi tiiiii,tena kwa gharama kubwa sana, ila mnawakenulia meno na kulinganisha gharama zenu na zile za boko haram wa Nigeria ili kuficha aibu!


WERE: Why the standard gauge railway is not cost-effective

Yaani SGR wamewaibia mchana kweupe hadi wameajiri ndg zao kufagia na kuwaacha wakenya wakihangaika bila ajira

View attachment 618785View attachment 618786View attachment 618787

Boss stop lying to people. Those photos are of the residence where the Chinese reside. They live a very simple life and most of the chores for themselves.
It's also where the trains are fueled/serviced.
 
Yaani ndio kabisa unamkosesha Raila kura kwa kauli za kihivi, hiki ni kicheko cha mwaka eti mgombea urais atafute kura kwa ahadi kwamba atatuombea makazi kwa nchi maskini chini yetu......hehehehe!!!
Siku Raila atatamka kitu kama hicho atatukanwa mpaka ausahau urais.

Rais bora ni yule anaboresha maisha ya ndani ya watu wake, na kama lazima watu wake watoke, basi waende kwenye nchi zenye hela ili watume nyumbani kwa ajili ya uwekezaji.

Ndio maana nchi yenu mnaliwa sana, akili zenu hazijawahi badilika tangu Nyerere awajaribishe kwenye hicho kitu aliita ujamaa, mnapenda mambo ya kujidanganya na undugu, eti leo Magufuli akiwa swahiba na kiongozi wa nchi nyingine basi raia wa kule wapo radhi kuja na kuchuma na kunyakua kila wakitakacho. Mchina amewatafuna sana kwa kutumia huo undugu wa kijinga.

Yaani Raila atufanye tuje kuwa omba omba Tanzania kama walvyo ndugu zenu huku....


Najaribu kufikiria jibu gani litakutosha but still sijalipata

Siku nyingine kabla hujaongea jisikilize kwanza

Inaonekana hujui maana ya utajiri wewe, utajiri sio pesa au kiwango cha uzalishaji, utajiri ni resources

Sasa kama utasema kenya ni tajiri kulilo tanzania utachekwa na kila mtu

Tanzania kwa nchi tajiri duniani ni ya 12
 
Povuuuu of the century,wapi nimeandika chadema na uccm???? tunajua hamtaki kuambiwa ukweli nyinyi. And i will keep saying "yamewashinda ya kwenu mnakimbilia ya kwa majirani zenu." tena ninaongezea shame on you witches povu ruksa


Tangu wakubake unaweweseka sana
 
Hatuna madini ya kuliwa na Wachina, wameitafuna nchi yenu hadi imebaki mahandaki. Huwa mnawaita eti ndugu zenu na kuwavisha kofia za vyama.

baloz-jpg.113407
Wachina wamewaibia sana sgr yenu bhana, acha kufumbia macho. Tz hatuna wachina migodini, na sheria mpya zishawekwa bandugu.
 
Povuuuu of the century,wapi nimeandika chadema na uccm???? tunajua hamtaki kuambiwa ukweli nyinyi. And i will keep saying "yamewashinda ya kwenu mnakimbilia ya kwa majirani zenu." tena ninaongezea shame on you witches povu ruksa

Kwani hii serikali imeyaweza ya kwake??? Mbona imeenda kwa jirani kumsapoti Odinga wakati hamna viwonder tulivyoahidiwa!!
 
Raila yule hawezi kuja kuwa Rais,

Watu wengi walishajua kumtumia yule jamaa kama ngazi na wala hashituki,akina Kibaki walimtumia,Uhuru pia na sasa namuona Mdavadi kamsogelea ili tu apande kwenda ikulu baadae kupitia imani kwamba ni mtu wake wa karibu.
 
Boss stop lying to people. Those photos are of the residence where the Chinese reside. They live a very simple life and most of the chores for themselves.
It's also where the trains are fueled/serviced.
This is another marvel happening in Kenya. A refuelling station becomes a residential place. Only Kenyan guards are supposed to be at that station.

Lakini jinsi mlivoibiwa na wachina mnaishia kuchekelea eti ni sehemu ya kujazia mafuta wao ndo wanalala hapo?

BTW, kazi ya kujaza mafuta kwenye sgr ni ya nani? dreva au mchina? Na mafuta hayo ni mali ya nani?, ya kenya au ya wachina? Nahisi wakenya ndo wanafuata hiyo oil na kuja kuwauzia tena!


Mpaka hayo mabango yabadilike maandishi kutoka kichina kuwa lugha yenu mtakuwa mmekoma
 
Lengo ilikua kupata 70% ya kura na sasa uhuru ako na 98%....kwa maoni yangu naona anafa kutangazwa kama mshindi tu
 
Wakenya wengi hawajui kucheza karata za kisiasa.Wakenya wengi wanataka kupenya kuingia Tanzania ila kikwazo kikubwa ni sheria Na Sera mbalimbali za Tanzania kama za ardhi,ajira,uhamiaji nk kuzibadili wakenya wangekuwa Na akili wangempa raila odinga rafiki wa magufuli ambaye kwa kupitia urafiki wao wangeweza ongea kirafiki tu Na Tanzania ikalegeza misimamo in favour of Kenya. Lakini kwa kukomaa Na Kenyatta ni wazi kuwa wakenya wataendelea kuwa Na nafasi finyu sana ya kupenya Na kubadili sheria Na Sera Za Tanzania. Wamepoteza golden opportunity. Kenyatta yuko Na chadema ni rahisi tu kusema Kenyatta katangaza vita Na serikali ya CCM hivyo kustarajiwe mabadiliko yoyote ya maana kati ya Kenya Na Tanzania. Kwa sababu kushughulika Na Kenyatta ni kama kushughulika Na mwakilishi wa tawi la chadema nchini Kenyatta kamanda Uhuru Kenyatta

Mlitaka Nchi iwe ya uswahiba hii? Hovyoo kabisa!
 
Tangu wakubake unaweweseka sana
Walking dead wa Tz bado hata hamjanikosrsha kupiga chafya. Shame on you,fanya yako kwanza ndio ukimbilio ya wenzako witches nyinyi. Halafu kama unatukana basi njoo na tusi jipya hilo hata hujanishtua bado baboon.
 
Back
Top Bottom