101 East
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 1,040
- 2,121
STEVE HARVEY:
Mtangazaji maarufu wa Marekani Steve Harvey hununua zawadi ya TV kila mwaka na kumpelekea Mwalimu wake wa zamani ambaye aliwahi kumwambia kamwe hatokuja kuonekana kwenye TV.
Steve anasema Mwalimu alimwambia kauli hiyo akiwa mdogo baada ya kuwapa Wanafunzi maswali ya kutaka waeleze wanataka kufanya kazi gani ukubwani au wanataka kuwa nani.
Steve ambaye alikuwa na tatizo la kigugumizi kikali wakati huo aliandika anataka kuwa Mtangazaji mkubwa atakayeonekana kwenye TV lakini Mwalimu akamwambia hiyo ni ndoto na haitowezekana.
Ni kitu gani uliambiwa hutoweza kukifanya na sasa unakifanya freshi tu?
.
Mtangazaji maarufu wa Marekani Steve Harvey hununua zawadi ya TV kila mwaka na kumpelekea Mwalimu wake wa zamani ambaye aliwahi kumwambia kamwe hatokuja kuonekana kwenye TV.
Steve anasema Mwalimu alimwambia kauli hiyo akiwa mdogo baada ya kuwapa Wanafunzi maswali ya kutaka waeleze wanataka kufanya kazi gani ukubwani au wanataka kuwa nani.
Steve ambaye alikuwa na tatizo la kigugumizi kikali wakati huo aliandika anataka kuwa Mtangazaji mkubwa atakayeonekana kwenye TV lakini Mwalimu akamwambia hiyo ni ndoto na haitowezekana.
Ni kitu gani uliambiwa hutoweza kukifanya na sasa unakifanya freshi tu?
.