Ni kitu gani kipya atafanya Magufuli?

Ni kitu gani kipya atafanya Magufuli?

Njanga Tz

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2015
Posts
843
Reaction score
655
Wakati furaha ikiwa inatamalaki katika mitaa ya Lumumba na wananchi wakiimba kile kibwagizo cha "Hapa Kazi tu" inabidi tutafakari ni kitu gani kipya atafanya Magufuli akiwa ndani ya ccm uku akiwa amezungukwa na watu wale wale.

Nafikiria kama kweli atakua na dhamira ya dhati ya kunyoosha mambo ambayo mengi yamekwisha pindishwa basi atarajie kuwa na maadui wengi zaidi nje na ndani ya system, Lasivyo ndani ya miaka miwili atakua amechoka na atakua kama wenzake waliopita.

Nikikumbuka hisia,shangwe na matarajio ya Watanzania ya 2005 ya kikwete kuingia madarakani hizi za Magufuli ni asilimia 30 tu ya zile shangwe.Lakini sasa kila kitu kiko worse zaidi.

Mungu atusaidi Watanzania.
 
Wakati furaha ikiwa inatamalaki katika mitaa ya Lumumba na wananchi wakiimba kile kibwagizo cha "Hapa Kazi tu" inabidi tutafakari ni kitu gani kipya atafanya Magufuli akiwa ndani ya ccm uku akiwa amezungukwa na watu wale wale.

Nafikiria kama kweli atakua na dhamira ya dhati ya kunyoosha mambo ambayo mengi yamekwisha pindishwa basi atarajie kuwa na maadui wengi zaidi nje na ndani ya system, Lasivyo ndani ya miaka miwili atakua amechoka na atakua kama wenzake waliopita.

Nikikumbuka hisia,shangwe na matarajio ya Watanzania ya 2005 ya kikwete kuingia madarakani hizi za Magufuli ni asilimia 30 tu ya zile shangwe.Lakini sasa kila kitu kiko worse zaidi.

Mungu atusaidi Watanzania.

tulia wewe mbona unakihem subiri atangaze baraza lake la mawaziri kwanza
 
tulia wewe mbona unakihem subiri atangaze baraza lake la mawaziri kwanza

Yani unavoandika utafikiri nchi hii haijawahi kua na baraza la mawaziri.Labda unaweza ukaniambia ni mwaka upi kulikua na mawaziri wenye hofu ya Mungu na dhamira za kweli za kuogopa wizi kama enzi za Mwalimu? Usitegemee maajabu utakuja kuaibika
 
Wakati furaha ikiwa inatamalaki katika mitaa ya Lumumba na wananchi wakiimba kile kibwagizo cha "Hapa Kazi tu" inabidi tutafakari ni kitu gani kipya atafanya Magufuli akiwa ndani ya ccm uku akiwa amezungukwa na watu wale wale.

Nafikiria kama kweli atakua na dhamira ya dhati ya kunyoosha mambo ambayo mengi yamekwisha pindishwa basi atarajie kuwa na maadui wengi zaidi nje na ndani ya system, Lasivyo ndani ya miaka miwili atakua amechoka na atakua kama wenzake waliopita.

Nikikumbuka hisia,shangwe na matarajio ya Watanzania ya 2005 ya kikwete kuingia madarakani hizi za Magufuli ni asilimia 30 tu ya zile shangwe.Lakini sasa kila kitu kiko worse zaidi.

Mungu atusaidi Watanzania.
Anayetegemea mabadiliko kutoka kwa CCM anahitaji kukaguliwa akili zake. Huyu ni wale wale na hakuna litakalobadilika. Wizi wa mali za umma utaendelea vile vile na gesi Kikwete ameshawapa Wachina.
 
Wakati furaha ikiwa inatamalaki katika mitaa ya Lumumba na wananchi wakiimba kile kibwagizo cha "Hapa Kazi tu" inabidi tutafakari ni kitu gani kipya atafanya Magufuli akiwa ndani ya ccm uku akiwa amezungukwa na watu wale wale.

Nafikiria kama kweli atakua na dhamira ya dhati ya kunyoosha mambo ambayo mengi yamekwisha pindishwa basi atarajie kuwa na maadui wengi zaidi nje na ndani ya system, Lasivyo ndani ya miaka miwili atakua amechoka na atakua kama wenzake waliopita.

Nikikumbuka hisia,shangwe na matarajio ya Watanzania ya 2005 ya kikwete kuingia madarakani hizi za Magufuli ni asilimia 30 tu ya zile shangwe.Lakini sasa kila kitu kiko worse zaidi.

Mungu atusaidi Watanzania.

Malofa na wapumbavu
 
tulia wewe mbona unakihem subiri atangaze baraza lake la mawaziri kwanza

Wabunge waliopita karibu wote ni wale wale pia usisahau kuwa Kikwete amevuruga baraza la mawaziri mara ngapi na kila akiteua mambo huwa ni yale yale kwa hiyo hata kwa magufuli mambo yatakuwa yale yale labda awakane Kikwete na Mkapa kwanza hili wasimsogelee kwenye maamuzi bila hivyo hakutakuwa na jipya.
 
Nikuondoe shaka mpinga kristu...najua wanaUKAWA mnatafuta mpka vinyamkera mmuharibie MAGUFULI...ni hiv kwanza hatokuwa mwenyekit wa chama atafanya kaz kwa watanzania wote pia 2namshukuru mungu WEZI NA WACHAFUZ wamejing'oa wenywe..ww subir maendeleo.
 
Back
Top Bottom