Nunua Toka UK
JF-Expert Member
- Apr 17, 2023
- 303
- 587
Huyu muheshimiwa kila nikimwona ananikumbusha kile kikopo cha mafuta alichoachiwa pale Dodoma.
TUKATAE WAHUNI!
TUKATAE WAHUNI!
Kwani na yeye tayari?Huyu muheshimiwa kila nikimwona ananikumbusha kile kikopo cha mafuta alichoachiwa pale Dodoma.
TUKATAE WAHUNI!View attachment 3287293
View attachment 3287294
View attachment 3287295
... CCM inafanyia kazi kinachoongelewa....kuna bonge la chuo pale Kibaha....Vipi kile chuo chake cha uongozi wa fitna?
Ni usanii tu wa kawaida kutafuta kiki.Huyu muheshimiwa kila nikimwona ananikumbusha kile kikopo cha mafuta alichoachiwa pale Dodoma.
TUKATAE WAHUNI!View attachment 3287293
View attachment 3287294
View attachment 3287295
takataka mchumia tumbo. wakati wa magufuli alikuwa mavi takataka bila huruma ya demokrasia kuwa inavujwa na tunaweka historia mbaya...as long as alikuwa anajirundikia hela, basi kwake kila kitu kilikuwa shwali wacha wengine wafe huko MKIRUFunguka kidogo
😅Vipi kile chuo chake cha uongozi wa fitna?
Zipo tetesi kijana akalamba nafasi nzito ya kitaifa 2030 🤫 🙊Huyu muheshimiwa kila nikimwona ananikumbusha kile kikopo cha mafuta alichoachiwa pale Dodoma.
TUKATAE WAHUNI!View attachment 3287293
View attachment 3287294
View attachment 3287295
CCM kama Nchi yenyewe imewashinda hadi mnafikia KUIBA KURA ZA WANANCHI labda mjenge Chuo cha kufunza WIZI WA KURA.... CCM inafanyia kazi kinachoongelewa....kuna bonge la chuo pale Kibaha....
Ni mwendo wa itikadi bora kwa miaka elfu moja ijayo !!