karume kenge
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 568
- 421
Habar wadau
Binafsi kikao cha kuitisha ndugu au wazazi wa pande mbili labda umemfumania mkeo ni kikao nisichokipenda maisha yangu yote kwa sababu huwa kuna lawama za kiwango cha juu kama sio kwa mke basi kwa mme kama sio mme ndugu wa mke kama sio mke ndugu wa mke.
Nishakaa kikao hicho na kusimamia ukweli mpaka leo huwa na lawama ya kuachanisha mke na mume kwa sababu ya ukweli.
Binafsi kikao cha kuitisha ndugu au wazazi wa pande mbili labda umemfumania mkeo ni kikao nisichokipenda maisha yangu yote kwa sababu huwa kuna lawama za kiwango cha juu kama sio kwa mke basi kwa mme kama sio mme ndugu wa mke kama sio mke ndugu wa mke.
Nishakaa kikao hicho na kusimamia ukweli mpaka leo huwa na lawama ya kuachanisha mke na mume kwa sababu ya ukweli.