Desierto JF-Expert Member Joined Aug 26, 2019 Posts 852 Reaction score 2,976 May 13, 2024 #1 Kikikufaa njoo tufanye biashara pia bei kinauzwaje?
K kimbomba25 JF-Expert Member Joined Jan 27, 2017 Posts 1,182 Reaction score 2,152 May 13, 2024 #2 Hii nyara umeipata wapi, mkuu?
Faana JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 42,451 Reaction score 50,183 May 13, 2024 #3 Nakihitaji ila nitafutie sare, kofia pamoja na viatu vyake
mdukuzi JF-Expert Member Joined Jan 4, 2014 Posts 22,312 Reaction score 55,972 May 13, 2024 #4 Kifaa cha kuwasiliana kwenye meli, kimepitwa na wakati
Mjomba Fujo JF-Expert Member Joined Oct 27, 2012 Posts 2,536 Reaction score 6,561 May 13, 2024 #5 umeteka gari ya afande. arooo sweka ndani riharifu hili.
X Xi Jinping JF-Expert Member Joined Jun 14, 2023 Posts 8,379 Reaction score 24,700 May 13, 2024 #6 Umekipata wapi?
mkorinto JF-Expert Member Joined Jun 11, 2014 Posts 32,066 Reaction score 39,512 May 13, 2024 #7 Radio call ya gari.
Notorious_Marcc JF-Expert Member Joined Feb 16, 2024 Posts 2,599 Reaction score 6,128 May 13, 2024 #8 Hiyo biashara tunaifanyaje ili hali wewe mwenyewe hicho kifaa hukifahamu???? 🤒 😎
Mparee2 JF-Expert Member Joined Sep 2, 2012 Posts 3,288 Reaction score 5,764 May 13, 2024 #9 Hiyo ni Radio call ya mawasiliano; inaweza kutumika kwenye Camp za porini (bush camp) au kwenye magari ya watalii au magari ya kijeshi/kivita. Naona kama niya kizamani sijui kama bado inafanyakazi....
Hiyo ni Radio call ya mawasiliano; inaweza kutumika kwenye Camp za porini (bush camp) au kwenye magari ya watalii au magari ya kijeshi/kivita. Naona kama niya kizamani sijui kama bado inafanyakazi....
Half american JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 45,122 Reaction score 111,805 May 14, 2024 #10 Hiyo ndio cable ya internet iliyozingua tangu juzi.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 167,170 Reaction score 185,468 May 14, 2024 #11 Ngoja waje kukupa muongozo... Cc: Mahondaw
Satoshi Nakamoto Senior Member Joined May 28, 2017 Posts 110 Reaction score 466 May 15, 2024 #12 Eleza kwanza umekipata wapi
Trainee JF-Expert Member Joined Sep 22, 2018 Posts 3,027 Reaction score 4,038 May 15, 2024 #13 Hiyo ni saa haya mimi nina elfu tatu njoo pm tuyajenge
Flava90s JF-Expert Member Joined Dec 13, 2017 Posts 319 Reaction score 516 May 15, 2024 #14 Radio call hiyo ya kizamani kidogo.. Ukitaka kuuza chap kuna jamaa yuko Instagram anakusanya vitu vya zamani Antique anaweza kupa hela hiyo Username yake (at) ngoshoinnovate
Radio call hiyo ya kizamani kidogo.. Ukitaka kuuza chap kuna jamaa yuko Instagram anakusanya vitu vya zamani Antique anaweza kupa hela hiyo Username yake (at) ngoshoinnovate
Makorokoro Bondeni JF-Expert Member Joined Apr 11, 2023 Posts 1,370 Reaction score 2,100 May 15, 2024 #15 Umekiamkia hicho kifaa mkuu?Kinaweza kuwa na umri wa dingi yako mkubwa au mjomba yako.