Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 16,637
- 31,135
Haya yoooote MKUU hayaondoi uhalisia naukweli wakwamba HIZBULLAH niwanamgambo tena kamili kabisa nawala sio wanajeshi ama jeshikatika vita ya vietnam jeshi lile litawekwa kama majeshi mengine ya nchi mfano jeshi la tanzania, uganda, china n.k
ila hapa unatakiwa ujue kwamba ukienda vitani kupambana na adui yako usiende kusema eti huyu si jeshi kamili, huyu ni jesh kamili, huyu ni manamgambo, kwa sababu vitani sio hayo majina ndio yanakupa ushindi, ukienda vitani nguvu ya adui yako, technologia na vingine ndo vinakupa ushindi, mfano wale waasi wa syria walikua wanakaribia kumpindua assad ambae alikua anasaidiwa na hezbolah (hao mnaowaita wanamgambo) na iran mpaka alivyoingia urusi akaongeza nguvu ya angani na nguvu zaidi ya kijeshi ndio waasi wakaanza kupoteza. so ukienda vitani wewe jua huyu ni adui kamili na amejipanga kupambana na mimi kamwe usimu under rate