Habari JF,
Nina mdogo wangu alimaliza kidato cha sita akapata division 3.17 akakataa kwenda diploma akidai kuwa atajiendeleza hapo badaye.
Lakini anataka zile kozi fupi fupi kama miezi 6, mitatu. Je, ni kozi gani ambayo anagalau mtu unaweza kusoma na kujiendeleza kimaisha?
Ushauri tafadhali.
Sent using
Jamii Forums mobile app