Kyeyombekeile
Member
- Feb 15, 2021
- 14
- 17
Ndugu wana Jukwaa la Elimu,
Yupo jamaa yangu ni mtumishi wa serikali upande wa utawala na ana BAED (Geography and Political Science and Public Administration) wiki moja nyuma alikuja kuomba ushauri juu ya ipi masters nzuri ya kusoma Kati ya public administration na GIS nikamshauri kwa kuwa Yuko upande wa utawala asome public administration ili kuongeza ujuzi japo yeye alikuwa anapendekeza GIS eti kisa kuna wataalamu wachache hivyo anaweza pata kazi nyingine ya juu zaidi, lengo lake ni kuongeza elimu ili apate pesa.
Kazi yake ni mtendaji wa kata nami nimeona nilete hapa kwa wajuzi wa mambo ili kupata A B C zaidi.
Karibu
Yupo jamaa yangu ni mtumishi wa serikali upande wa utawala na ana BAED (Geography and Political Science and Public Administration) wiki moja nyuma alikuja kuomba ushauri juu ya ipi masters nzuri ya kusoma Kati ya public administration na GIS nikamshauri kwa kuwa Yuko upande wa utawala asome public administration ili kuongeza ujuzi japo yeye alikuwa anapendekeza GIS eti kisa kuna wataalamu wachache hivyo anaweza pata kazi nyingine ya juu zaidi, lengo lake ni kuongeza elimu ili apate pesa.
Kazi yake ni mtendaji wa kata nami nimeona nilete hapa kwa wajuzi wa mambo ili kupata A B C zaidi.
Karibu

