Tafuta kuna Hotel inaitwa KAHUMBA, tena hapo na blanket mtu au nyama unapata unaenjoi
Habari zenu wadau.
Tafadhali naomba kujua ni hoteli gani nzuri morogoro mjini hasa huduma, usalama na bei nafuu ya vyumba?
Natafuta hotel ambayo naweza kupata chumba kwa bei isiyozidi sh. 30,000 kwa siku.