Haya ni maneno ya Biblia.
Naona malalamiko mengi kwenye mapenzi ni ..ooo ananichuna... oooo mme ka mwanamke.
Pia na nyie wote mnaopenda kupokea tu sio vizuri jamani. Biblia imekataza.
Ni hayo tu nilitaka kutoa moyo kwa tunaotoa tusifadhaike maana imeandikwa ni heri yetu.
Naona malalamiko mengi kwenye mapenzi ni ..ooo ananichuna... oooo mme ka mwanamke.
Pia na nyie wote mnaopenda kupokea tu sio vizuri jamani. Biblia imekataza.
Ni hayo tu nilitaka kutoa moyo kwa tunaotoa tusifadhaike maana imeandikwa ni heri yetu.