BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,818
- 11,001
Mwaka 2017 nikiwa Mkoani Tabora niliibiwa Bag na majambazi wakidhania kulikua na hela mle ndani. Ndani ya lile bag kulikuamo na vitu vingine pamoja na kitambulisho cha NIDA.
Nilienda kurupoti Police wakanipa RB na mpaka Leo sijawahi kukipata tena. Ifahamike kua kitambulisho hiki ni muhimu sana kwa huduma nyingi.
Mkoa niliojisajili kupata NIDA nimehama kule.Je nafanyeje ili kupata kitambulisho kipya?Namba za NIDA ninazo.
Nilienda kurupoti Police wakanipa RB na mpaka Leo sijawahi kukipata tena. Ifahamike kua kitambulisho hiki ni muhimu sana kwa huduma nyingi.
Mkoa niliojisajili kupata NIDA nimehama kule.Je nafanyeje ili kupata kitambulisho kipya?Namba za NIDA ninazo.