hajurangoo
Member
- Dec 23, 2013
- 8
- 0
Mdogo wangu wa kiume ana mchumba wake anayetaraji kumuoa na ni mtumishi usiku mmoja majira ya saa 3-4 akiwa nae alimuonyesha kitendo ambacho hakikumfurahisha mdogo wangu, dem wake aliamka kitandani na kuchukua cm kupiga kwa mwanaume wanaefanya nae kazi kuwa amemkumbuka na ampigie kumpa salam tu ( hi! ) eti mbona hawajaonana yuko wapi na mtu huyo ana familia yake "mke na watoto" baada ya kukatazwa kuwa si vema kufanya hivyo kwa muda huo mchumba huyo sasa hapakaliki na mdogo wangu ananiomba ushauri je wanajf nimshauri nini?