Ni habari za kweli?

Ni habari za kweli?

Mlafu

Member
Joined
Sep 17, 2015
Posts
63
Reaction score
54
Ndugu zangu naamini humu ndani kuna watu wenye ujuzi tofautitofauti.
Leo katika mishe zangu nimesikia kua kuna dawa ya kuweza kumtibu mtu aloathirika na punyeto ya muda mrefu nakusababisha nguvu kupungua je ni kweli hiyo dawa ipo.
Kama inaitwaje na dozi yake inakuaje?
 
Kama unataka dawa nenda jukwaa la madaktari...
 
Ndugu zangu naamini humu ndani kuna watu wenye ujuzi tofautitofauti.
Leo katika mishe zangu nimesikia kua kuna dawa ya kuweza kumtibu mtu aloathirika na punyeto ya muda mrefu nakusababisha nguvu kupungua je ni kweli hiyo dawa ipo.
Kama inaitwaje na dozi yake inakuaje?
MziziMkavu unaitwa huku
 
Last edited by a moderator:
Mm nahitaji dawa ya kucha punyeto jamn nipo siriouz nilianza toka.2006 mpka leo takrban miaka kumi plzzzzz naomben dawa
 
Mm nahitaji dawa ya kucha punyeto jamn nipo siriouz nilianza toka.2006 mpka leo takrban miaka kumi plzzzzz naomben dawa

sema na nafsi yako tu punyeto ni mawazo mabaya ukiweza kuyafrash utakuwa vyema tu mkuu,acha kutumia viganja vya mkono kuiridisha dyudyu yako.
 
Ndugu zangu naamini humu ndani kuna watu wenye ujuzi tofautitofauti.
Leo katika mishe zangu nimesikia kua kuna dawa ya kuweza kumtibu mtu aloathirika na punyeto ya muda mrefu nakusababisha nguvu kupungua je ni kweli hiyo dawa ipo.
Kama inaitwaje na dozi yake inakuaje?
Dawa kukutibu kuacha punyeto na kurudisha nguvu zako za kiume Dawa ninayo ukihitaji dawa yangu bonyeza hapa.Mawasiliano
 
hivi mpaka karne hii ya 21 ambayo inasemekana wanawake hawajui kukataa wanaume,bado tu kuna watu wanapiga punyeto
 
Back
Top Bottom