...siku za nyuma mulitwambie amepata kazi CNN ! imekuwaje amezukia tmk sabasaba, au ndiyo dayworks.wadau leo katika maonyesho ya saba saba jerry alikuwa akitangaza. binafsi nimefurah kwani tena sana kwani wabaya wake wote watanyamaza.
Yaani amerudi kutangaza tena ItV au alikuwa kama MC