Ni chakula, tunda au kinywaji gani unaona kipo overrated/underrated?

Samaki wa ziwa Victoria, Sato/sangara ni Overrated & tasteless..
 
Nikija kumjua aliyegundua hii combination nitamjengea kasanamu kadogodogo kuenzi mchango wake.
Hii kitu inakaa popote kuanzia; breakfast, lunch, supper, dinner.....
Ikilala, ukaamka nayo asubuhi halafu ipige mixer... πŸ˜€

Siku nikiona nataka kukata roho nitaomba hiyo kitu kwanza ndiyo nikalale kwa amani.
 
8yrs mishe zangu ni lake zone,ila nilivyokua nasikia story za utamu wa hawa samaki(nikiwa Dsm,home) naona tofauti na uhalisia,kwa minofu kweli wamejaza ila kwa taste binafsi hapana
Sheikh umezoea masamaki yalioungwa ma kutiwa udambu udambu mwingi. Sangara , sato, hongwe, mbofu, mbete, ngere, furu acha kabisaaa wachemshwe iwekwe limao na chumvi tuuu wale samaki wana mafuta yake. Kula na ugali wa mahindi mixa wa muhogo. Aseee ukikojoa bao hadi unaisikiamo na anaekojolewa ilo bao atakwambia mbona leo za moto ivooo
 
Sheikh bao tena,haya bwana
 
Mleta mada ulikula pizza gani, au vile vidude wazenji wa forodhani waita pizza?

Githeri/Makande ni namna ya upishi tu na aina ya makande yenyewe (kuna ya mahindi mabichi, makavu na makavu yaliyokobolewa)...

Kwa sisi wapenda misosi, huwa hakuna msosi over or underrated labda uwe umechacha...

Ukitaka uenjoy wali ndondo basi kuna ule wali ndondo uliolala kwenye jokofu, au ulilala kwenye chungu halafu ile morning unaugonga na chai ya maziwa...

Kula mboga za majani zozote zile sijui mchunga, majani ya kunde, majani ya maharage, sukuma, kabichi (ukitaka uinjoi imiksiwe na nyama), kisamvu (hili dude kula kiporo chake na wali nazi)...

Nafasi hata haitoshi hapa...
 
πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£ Apple 🍎🍏 eti yanaishi kistaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…