Zeus1
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 6,993
- 8,917
Sasa mkuu hivi vitisho vya nini??hivi unakula ili ushibe au unakula unachokipenda??me wakati niko mdogo nilikuwa nakula ili nishibe.daaah nimekumbuka kuna jamaa yangu alishawahi kunambia hawezi kula ugali na dagaa(misumali ya bati) hata siku moja.
Mungu fundi bhana, bahati mbaya nyumba yao imeungua na maisha yao yamedrop economically sababu ya ujenzi wa nyumba yao.
maisha anayoishi jamaa nayaelewa mimi anachokula naelewa mimi
wewe naweza kusema unamkufuru Mungu kama huyo jamaa yangu, .....kabichi ni kachumbari tu au sio??
ngoja yakukute mkuu hapo ndio utajua kwanini chips hazina ukoko
This Time Tomorrow
Maana sometimes kinapikwa chakula ila hukipendi,sasa point ni kuwa kama mfuko unaruhusu kula unachopenda tu,siku huna kula chochote ili ushibe.
Me mwenyewe hiyo mboga siikubali,na sikumbuki last time nikula lini.