Ni ajabu kuona Urusi taifa linalojinasibu kama super power bado Lina fikra za Kinjekile Ngwale

kp kipanya44

JF-Expert Member
Jun 23, 2022
10,816
13,227
Wakuu, katika pitapita zangu kwenye vyombo mbalimbali vya habari,nikifuatilia sakata linaloendelea Kati ya urusi na taifa Jirani yake ( ukraine).., nimegundua kitu kwamba waafrika tusiendelee kubezwa sana kutokana na mitazamo yetu na fikira zetu,..,ni ajabu kuona taifa linalojinasibu kama super pawer bado Lina fikra za kinjekile ngwale

Hakika ukistaajabu ya muda utayaona ya pharaoh.., super pawer anaamini maji ya baraka yanaweza kubadili au kupunguza Makali ya kichapo anachotembezewa na jirani yake..,hizi fikra tulitegemea wawe nazo viongozi wa kiafrika lakini Hali imekuwa tofauti.., hii Inadhihilisha wazi kwamba urusi Bado inaongozwa na watu wenye akili finyu kupita kiasi.., haya matendo huwezi kuyashuudia kwa mataifa makubwa yaliyoendelea na kujitambua.., hakika kupitia hii waliyoita operation ya saa 72 ya kuwaondoa wanazimamboleo tutajionea mengi sana


1670087137779.jpg
 

Attachments

  • 1670087125040.jpg
    1670087125040.jpg
    74.4 KB · Views: 6
Mkuu Urusi karibia Taifa zima ni waumini wa dhehebu la Orthodox so usibeze imani za watu maaa ni sehemu ya utadaduni wao. Kwahiyo wewe unaposali au kufanya dua ni imani potofu?
 
Kuna Chizi mwingine huyu hapa aliwashauri kinamama wazae watoto wengi ili wasiwe na woga kuwapeleka watoto wao watu wazima wakapigane vitani Ukraine.



Baada ya kwenda vitani hakuchukua hata wiki mbili akalambishwa mchanga na HIMARS

Russian priest Mikhail Vasilyev, who had suggested to Russian mothers to give birth to more children so they would not be afraid to send their adult sons to #Russia's war against #Ukraine, was just killed in Ukraine.


 
Ila HIMARS imejua Kula vichwa vya warusi

Putin posthumously awarded archpriest Mikhail Vasilyev, a military priest attached to a VDV unit, the title of Hero of Russia. Father Mikhail was killed by a HIMARS rocket on November 6th.



He had served as a military priest in various combat zones, including Chechnya, Abkhazia & Syria. He also accompanied Russian paratroopers during the march on Pristina airport in 1999.

 
Mkuu Urusi karibia Taifa zima ni waumini wa dhehebu la Orthodox so usibeze imani za watu maaa ni sehemu ya utadaduni wao. Kwahiyo wewe unaposali au kufanya dua ni imani potofu?
Kwa nini mwanzo wa hii anayoiita special epereshen hatukuona anawameagia maji ya baraka askari wake wenye uzoefu..,hizi ni dalili za kuishi kwa matumaini
 
Kwani wewe tamaduni zako zikoje na pia yote unayofanyiwa na wazungubwao si ndio walioleta tamaduni zao kufanya brainwashing yako thus unaona tamaduni zako hazifai
 
Pro Russia 2 Pro NATO 3.

Pro NATO wanaupiga mwingi saaana hapa. Huenda wakapiga mtu chuma cha nne. Dakika ya 49 hiyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom