Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,714
- 45,099
Hivi hizi timu kongwe za Tanzania, Simba na Yanga zitaacha lini kudeka nakupenda kutumia rasilimali za wengine.
Inatia aibu na huruma pale timu kongwe kama Yanga yenye miaka zaidi ya 80 toka kuanzishwa kwake kutumia uwanja wa Azam Fc ya mwaka 2007.
Ni aibu kubwa kwa wana Yanga wenzangu sijui hata tuweke wapi sura zetu!
Povu ruksa...
Inatia aibu na huruma pale timu kongwe kama Yanga yenye miaka zaidi ya 80 toka kuanzishwa kwake kutumia uwanja wa Azam Fc ya mwaka 2007.
Ni aibu kubwa kwa wana Yanga wenzangu sijui hata tuweke wapi sura zetu!
Povu ruksa...