Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,403
- 40,316
Ni aibu kubwa sana kukuta kijana wa kiume au wakike mwenye umri wa miaka 35+ bado anaishi kwao au kwa wazazi.
Hii ni aibu kubwa sana, na ni ishara ya kutokujitambua. Inakuwaje kwa umri huo ungojee chakula cha shikamoo, uchonge ndevu wakati unaishi kwenu au upishane na mzazi huku amefunga taulo kiunoni?
Mwenye umri huo anayeishi kwao abadilike, nyumba za kupanga ziko nyingi tu, hata chumba cha 10,000 kinapatikana.
Hii ni aibu kubwa sana, na ni ishara ya kutokujitambua. Inakuwaje kwa umri huo ungojee chakula cha shikamoo, uchonge ndevu wakati unaishi kwenu au upishane na mzazi huku amefunga taulo kiunoni?
Mwenye umri huo anayeishi kwao abadilike, nyumba za kupanga ziko nyingi tu, hata chumba cha 10,000 kinapatikana.